Hakimu aamuru mashitaka yarekebishwe
HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Arusha, Mustapher Siyan ameamuaru upande wa Jamhuri kurekebisha kasoro zilizopo kwenye hati ya mashtaka ambayo inawakabili Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha, Profesa Johannes Monyo na wenzake saba.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Mar
DC aamuru Mkurugenzi Mtendaji kukamatwa
>Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Crispin Meela ameamuru kuwekwa mahabusu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Belva Consult Limited ya Dar es Salaam, Jones Lukaza kwa madai ya kuwasilisha hati feki za Benki ya NBC zenye thamani ya takriban Sh1.2 bilioni kwa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe
10 years ago
BBCSwahili11 May
Jaji aamuru Polisi awekwe mahabusu
Jaji wa mahakama ,Misri aamuru polisi aliyepelekwa mahamani hapo kwa tuhuma za kumua mwanamke mmoja mwanaharakati awekwe mahabusu.
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Magufuli aamuru Strabag kufungua barabara
WAZIRI wa Ujenzi, John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya Strabag inayojenga Barabara ya Morogoro, kufungua barabara zilizokamilika ili kuwapunguzia wananchi adha ya foleni wanayokumbana nayo kila siku. Magufuli amemtaka mkurugenzi...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-WbNT6bxCxDA/UdG6gU0-AFI/AAAAAAAAAKs/SaxiQt5RX_Q/s72-c/jakaya%2Bkikwete-aprm.jpg)
JK aamuru wahanga wapewa viwanja 400
Acharuka kwa kucheleweshwa kwa ahadi yake
Atoa siku saba, wananchi wapagawa kwa furaha
Na mwandishi wetuRAIS Jakaya Kikwete ameupa wiki moja uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, kuwapatia viwanja vya kujenga nyumba wahanga wa mafuriko.
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbNT6bxCxDA/UdG6gU0-AFI/AAAAAAAAAKs/SaxiQt5RX_Q/s1600/jakaya%2Bkikwete-aprm.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Nov
DC Geita aamuru mabweni ya wafanyakazi G4S yafungwe
Serikali mkoani Geita imeitaka kampuni ya ulinzi ya G4S kufunga mabweni yanayotumiwa na wafanyakazi, kwa kuwa yanahatarisha usalama wa afya zao. Â Â Â
11 years ago
Mwananchi09 Jun
JK aamuru polisi iwakamate walioiba fedha za tumbaku
Rais Jakaya Kikwete ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata wezi wa fedha za wakulima wa tumbaku mkoani Tabora kwa kuwafikisha mahakamani haraka iwezekanavyo.
10 years ago
GPLDK MWAKYEMBE AAMURU KUFUNGIWA MABASI YALIYOSABABISHA AJALI MARA
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harisson Mwakyembe (Picha na Maktaba). Waziri wa Uchukuzi, Dk Harisson Mwakyembe ameagiza makampuni ya Mabasi ya J4 Express na Mwanza Coach yafungiwe mara moja. Akizungumza na mwandishi wa mtandao huu muda mfupi uliopita, Dk Mwakayembe amesema sehemu iliyotokea ajali na kusababisha vifo vya watu 39 na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa ni sehemu ambayo kila dereva alikuwa akimuona mwenzake,...
10 years ago
Uhuru Newspaper03 Sep
Asomewa mashitaka wodini
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilihamia katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru, kwa ajili ya kusomewa mashitaka mtuhumiwa Abdulkarim Thabit Hasia anayedaiwa kufanya uwakala wa kusajili vijana kujiunga na kundi la Al Shabaab.
Hasia ambaye amelazwa katika hospitali hiyo kwa takriban miezi minne, ilikuwa asomewe mashitaka na kuunganishwa na wenzake, Mei mwaka huu lakini ilishindikana kutokana na kutokuwa na fahamu.
Mshitakiwa huyo alisomewa mashitaka hayo na Wakili wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania