Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Geita aamuru mabweni ya wafanyakazi G4S yafungwe

Serikali mkoani Geita imeitaka kampuni ya ulinzi ya G4S kufunga mabweni yanayotumiwa na wafanyakazi, kwa kuwa yanahatarisha usalama wa afya zao.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

 Wafanyakazi Kampuni ya Ulinzi G4S Geita wagoma  

 

Zaidi ya Wafanyakazi 600 wa Kampuni ya G4S inayofanya Kazi ya Ulinzi katika Mgodi wa Dhahabu wa Geita wamegoma kufanya kazi kwa madai ya kulipwa maslahi duni pamoja na kuukataa uongozi uliopo ambao umekuwa ukiwasainisha mikataba isiyotekelezeka.

Wamedai kuwa mikataba hiyo inayoeleza kupata huduma ya malazi, afya na chakula ukiwa kazini haitekelezwi na hivyo kufanya kazi katika mazingira magumu kwa kuwa baadhi ya wafanyakazi wanatoka mikoani.

Wafanyakazi hao waliofunga Geti Kubwa la kuingia...

 

11 years ago

BBC

G4S guards face plane death charges

Three custody officers are to be charged with the manslaughter of an Angolan man who died while on a plane as he was deported from the UK

 

5 years ago

The Citizen Daily

G4S security guards arraigned for theft of NBC’s Sh 2.2 billion

G4S security guards arraigned for theft of NBC’s Sh 2.2 billion  The Citizen Daily

 

10 years ago

Habarileo

Mabweni 3 shule ya wasichana yateketea

MABWENI matatu ya Shule ya Sekondari Nyansincha Tarafa ya Ingwe Wilayani Tarime mkoani Mara, yameteketea kwa moto.

 

10 years ago

Habarileo

Mama Salma ahimiza ujenzi wa mabweni

MAMA Salma Kikwete amezitaka mamlaka za elimu nchini, kuhakikisha wanajenga mabweni kwenye shule za sekondari na kutoa kipaumbele kwa wanafunzi wa kike ili kuhakikisha wanamaliza masomo yao.

 

11 years ago

Michuzi

MABWENI YA WASICHANA YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VITANDA

 Mwalimu mkuu shule ya sekondari Mwembetogwa Kelvin Mlengule akitoa maelezo kwa mkuu wa wilaya ya Kilolo Gerald Guninita kuhusiana na mabweni ya wasichana wa shule hiyo.  Baadhi ya wahitimu wa shule ya sekondari Mwembetogwa  Mwalimu mkuu shule ya sekondari Mwembetogwa Kelvin Mlengule akitoa taarifa ya shule kwa wazazi na wanafunzi wa shule ya sekondari Mwembetogwa katika mahafali ya 18 ya shule hiyo. Mkuu wa wilaya ya Kilolo Gerald Guninita akichangisha fedha kwa wazazi kwa ajili ya...

 

5 years ago

Michuzi

GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA

KATIKA kukuza sekta ya elimu ya juu nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii imetoa kiasi cha Sh milioni 100 kusaidia ujenzi wa Kituo cha Chuo Kikuu Huria(Open University) cha mkoani wa Geita.

Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.

Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ridhiwani aahidi kuongeza shule, mabweni Chalinze

>Mgombea udiwani wa CCM wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete amewa\ahidi wananchi wa Kata ya Ubena kuwatatulia tatizo la watoto wao kutembea umbali mrefu kwa kuongeza idadi ya shule na  mabweni mapya kwenye kata hiyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani