DC aamuru Mkurugenzi Mtendaji kukamatwa
>Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Crispin Meela ameamuru kuwekwa mahabusu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Belva Consult Limited ya Dar es Salaam, Jones Lukaza kwa madai ya kuwasilisha hati feki za Benki ya NBC zenye thamani ya takriban Sh1.2 bilioni kwa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Jul
MHE. OMAR MJENGA AFANYA KIKAO NA MKURUGENZI MKUU NHC BWN. NEHEMIAH MCHECHU NA MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA UJENZI YA DAMAC, BWN.SONIL VOHOR
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCYa-tI_spU/U9VQVqSeuPI/AAAAAAACzwg/E2bIXHalb1Q/s1600/20140727_190328.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Tibazarwa Mkurugenzi Mtendaji NBC
BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), imemtangaza Pius Tibazarwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa muda kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu. Tibazarwa anachukua nafasi ya Mizinga Melu aliyeteuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa...
10 years ago
Habarileo13 Feb
NMB yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
BODI ya benki ya NMB imemtangaza Ineke Bussemaker kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, Mark Wiessing kukubali nafasi mpya ndani ya benki ya Rabobank, kama mkuu wa benki hiyo upande wa Amerika Kusini na Mkurugenzi Mtendaji Brazil.
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Edwin Ngonyani Mkurugenzi Mtendaji mpya wa STAMICO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mhandisi Edwin Amandus Ngonyani kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico). Uteuzi huo umeanza Jumapili iliyopita, Juni 28, 2015.
Taarifa ya kuthibitisha uteuzi huo iliyotolewa Ikulu, Dar es salaam na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) leo, Jumanne, Juni 30, 2015, inasema kuwa kabla ya uteuzi wake Mhandisi Ngonyani alikuwa Mkaguzi Mkuu wa Migodi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Stamico.
Mhandisi...
10 years ago
Bongo511 Aug
Vodacom Tanzania yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
9 years ago
MichuziTUMIENI TEKNOLOJIA YA MAWASILIANO-MKURUGENZI MTENDAJI WA TaGLA
Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi Umma Bw.Peter Mushi (wa pili kushoto) akizungumza alipokuwa akiendesha mkutano kwa njia ya video na Sekretarieti ya Mkoa wa Mara jana jijini Dar es Salaam (watatu kulia) ni Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi Umma Bw. Leonard Mchau .
10 years ago
Michuzi18 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y8OSUcQcXjA/VB_335rEsLI/AAAAAAAGk84/ID9Magp8GoE/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
DK. Shein akutana na Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya NBC leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-y8OSUcQcXjA/VB_335rEsLI/AAAAAAAGk84/ID9Magp8GoE/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bLESnPETc0s/VB_38X_q4uI/AAAAAAAGk9I/N3ui1QfSkRc/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ePsoAZxVQP0/VB_36Ns-U4I/AAAAAAAGk9A/fxSqhIW_a7c/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC TANZANIA YAPATA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA.