JK aamuru polisi iwakamate walioiba fedha za tumbaku
Rais Jakaya Kikwete ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata wezi wa fedha za wakulima wa tumbaku mkoani Tabora kwa kuwafikisha mahakamani haraka iwezekanavyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Jul
Walioiba fedha za tumbaku watakiwa kukamatwa
VIONGOZI wote wanaotuhumiwa kushiriki katika wizi wa fedha za tumbaku za wakulima, wameamriwa wakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria.
10 years ago
GPLTegete: Walioiba fedha za Escrow wanyongwe
10 years ago
BBCSwahili11 May
Jaji aamuru Polisi awekwe mahabusu
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/UvbA724MJSs/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli aamuru Fedha zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru Desemba 9 sasa zitumike kujengea barabara ya Mwenge - Morocco, Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Tayari fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni nne zimepelekwa kwa wakala wa barabara hapa nchini TANROADS kwa ajili ya utekelezaji wa agizo hilo, linalopaswa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-va4otQTSZGg/U3O56nZ-bOI/AAAAAAAChDc/IGfYDMZHR08/s72-c/22.jpg)
WAKULIMA WA TUMBAKU WAULALALMIKIA UBADHILIFU MKUBWA WA FEDHA ULIOFANYWA NA VYAMA VYA USHIRIKA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-va4otQTSZGg/U3O56nZ-bOI/AAAAAAAChDc/IGfYDMZHR08/s1600/22.jpg)
Aidha,Wananchi wa Sikonge wameulalamikia ubadhilifu huo mkubwa wa fedha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YKSaFWhs-tg/XlULsUkAdrI/AAAAAAALfRE/mD6Kno4ay-MyqClZevaVx0iD6TdLkDh4gCLcBGAsYHQ/s72-c/b4b28911-be6c-41bc-aeb0-38e0cc1f3f29.jpg)
WATU WANNE MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MABILIONI YA FEDHA YA BENKI YA NBC, POLISI TISA NAO MBARONI
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wanne waliokuwa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya G4S Security kwa tuhuma za wizi wa Sh.1.280,000,000, Dola za Marekani 402,000 na Euro 27,700 huku pia likiwashikilia askari wa polisi tisa kwa tuhuma za kuchukua sehemu ya fedha hizo kutoka kwa mmoja ya watuhumiwa.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Walioiba NMB jela miaka 37, viboko 24
WATU watano wamehukumiwa kifungo cha miaka 37 jela na kuchapwa viboko 24 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kuvamia na kupora fedha benki ya NMB tawi la Maswa kwa kutumia silaha.
9 years ago
Habarileo25 Nov
Walioiba kwa Jaji walamba miaka 30
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kifungo cha miaka 30 jela watu wanne waliovamia na kuiba mali zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 12 nyumbani kwa Jaji wa Mahakama Kuu, John Mgeta.