Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodaboda 400 wapewa mafunzo ya udereva

Babati. Waendesha bodaboda 425 wa Kata ya Endakiso wilayani Babati Mkoa wa Manyara wamekabidhiwa leseni na vyeti vya kuhitimu mafunzo ya udereva katika Taasisi ya Ant Poverty Enviromental Care (APEC).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Apokea magari mawili kwa ajili ya mafunzo ya udereva

 Mkurugenzi wa Mradi ya Usalama Barabarani wa Shirika la Transaid la Nchini Uingereza, Mr. Neil Rettie (mwenye tai ya blue) akimkabidhi funguo za gari aina ya Iveco kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka kwa ajili ya mafunzo ya Udereva yanayotolewa na Chuo Cha Taifa Cha Usafirhsaji (NIT), Hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya chuo hicho leo Asubuhi.  Taswira ya tanker trailer la futi 40 na Folk Liftambayo yamekabidhiwa kwa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT) na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

JK aamuru wahanga wapewa viwanja 400



Acharuka kwa kucheleweshwa kwa ahadi yake
Atoa siku saba, wananchi wapagawa kwa furaha
Na mwandishi wetuRAIS Jakaya Kikwete ameupa wiki moja uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, kuwapatia viwanja vya kujenga nyumba wahanga wa mafuriko. Mafuriko hayo yalitokea miaka minne iliyopita mjini Kilosa, ambapo Rais Kikwete aliagiza wahanga kupewa viwanja. Alitoa agizo hilo wakati alipozungumza na wananchi wa Kilosa katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Kilosa baada ya kutembelea wilaya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania wapewa mafunzo ya Rugby

Rugby ni miongoni mwa michezo isiyo maarufu nchini Tanzania. Jitihada za kuendeleza mchezo huo zimekuwa zikifanyika.

 

10 years ago

Michuzi

Mtwara wapewa Mafunzo ya Maafa

Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu wa Maafa yatoa Mafunzo ya Dhana ya Maafa kwa wataalamu kutoka Halmashauri na Manispaa ya Mkoa wa Mtwara kwa ajili ya kuandaa Mpango wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa. Miongoni mwa masuala yanaoelezwa ni pamoja na, jinsi ya Kujiandaa na Maafa, Kukabili, Kuzuia na namna ya kurudisha hali baada ya Maafa kutokea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa wapewa mafunzo maalum Rwanda

Kundi la vijana nchini Rwanda limeanzisha mradi wa kutunza mbwa kwa minajili ya masuala tofauti ya kusaidia na kuimarisha maisha

 

10 years ago

Vijimambo

WASAIDIZI WA KISHERIA 25 WAPEWA MAFUNZO RUNGWE.

 Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Christopher Nyambaza, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo wakati akifunga mafunzo ya wiki moja ya Wasaidizi wa kisheria yaliyotolewa na House of Peace. Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Amon Nyingi, akimkaribisha mgeni rasmi katika kufunga mafunzo ya wasaidizi wa kisheria. Mratibu wa Mafunzo ya Wasaidizi wa Kisheria, Dorothy Ndazi kutoka House of Peace akisoma taarifa kwa mgeni rasmi. Mmoja wa Wanafunzi wa...

 

9 years ago

StarTV

Wanafunzi wapewa mafunzo ya kutetea haki za wanyama

Mkurugenzi mtendaji wa jumuiya ya utetezi na haki za wanyama Zanzibar Ali Abdalla Juma amesema kutoa mafunzo juu ya haki za wanyama kwa wanafunzi ni hatua muhimu ya kurithisha imani kwa jamii juu ya kufanya utetezi na kutokuwaadhibu wanyama kwa hali yeyote ile.

Mkurugenzi huyu anasema wameamua kushererhekea siku ya haki ya wanyama Dunia kwa kufanya Mdahalo kwa mashindano ya kutamka herufi mbali mbali kwa lugha ya kingereza takriban kwa skuli 19 za msingi na sekondari katika sentensi zenye...

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU

Mratibu wa Mafunzo ya Haki za Binadamu kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Bi.Jina Mwinyi Waziri akiwakaribisha Maofisa Polisi katika Mafunzo ya Haki za Binadamu kwa Jeshi la Polisi .Mkurugenzi Mtendaji Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC Bi.Harusi Miraji Mpatani akimkaribisha Mgeni Rasmi Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame katika Mafunzo ya kuwajengea uwezo Polisi juu ya umuhimu wa kutunza Haki za Binadamu.Mgeni Rasmi Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame...

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA COVID-19





Bw.Yusuph Seif Afisa Afya wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akitoa mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kwa watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ambayo yamefanyika leo Mtumba Jijini Dodoma.



Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo wakisikiliza mafunzo kuhusu namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani