Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania wapewa mafunzo ya Rugby

Rugby ni miongoni mwa michezo isiyo maarufu nchini Tanzania. Jitihada za kuendeleza mchezo huo zimekuwa zikifanyika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAJAJI WAPYA WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI JUU YA UTENDAJI KAZI MAHAKAMANI

  Mhe. Jaji Ferdinand Wambali (aliyesimama), Mkuu wa Chuo cha Mahakama  Lushoto (IJA),akitoa mada juu ya utendaji kazi katika Mahakama katika mafunzo yaliyoanza kufanyika mapema leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa (JNICC) jijini Dar es Salaam. Mhe. Shaban Ali Lila, Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania (katikati) akitoa neno la utangulizi katika Semina ya Mafunzo elekezi kwa Wahe. Majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania walioapishwa hivi karibuni, aliyeketi kushoto ni Mhe. Anold...

 

11 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA MPIRA WA RUGBY YAENDESHWA SHULE ZA MSINGI DAR

G4S Secure Solutions in partnership with Bhubesi pride have organized a rugby program involving primary schools in Tanzania with the aim of uniting children, empowering local teaching staff and inspiring young leadership.   This is through “Rugby in Africa” project that sees almost ten African countries, in which Tanzania became the 5th country to be visited primarily to support rugby and for community development.   The competition that was held during the weekend in Masaki, Dar es Salaam...

 

9 years ago

Michuzi

WAHE. MAJAJI WAPYA WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI JUU YA UTENDAJI KAZI MAHAKAMANI

 Mhe. Shaban Ali Lila, Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania (katikati) akitoa neno la utangulizi katika Semina ya Mafunzo elekezi kwa Wahe. Majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania walioapishwa hivi karibuni, aliyeketi kushoto ni Mhe. Anold Nsekela, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani (T) kulia ni Mhe. Salvatory Bongole, Kaimu Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

             Mhe. Jaji Ferdinand Wambali (aliyesimama), Mkuu wa Chuo cha Mahakama  Lushoto (IJA),akitoa mada...

 

11 years ago

GPL

MAFUNZO YA MPIRA WA RUGBY YAENDESHWA SHULE ZA MSINGI DAR‏

Mapambano Primary school pupils in action  as they train rugby  at playgrounds of  Tanganyika International School, Masaki in Dar es Salaam yesterday.  The program is sponsored by G4S Tanzania and is run in ten African countries as strategies to promote and unite African children through rugby. According to organizers, the countries are Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Malawi, Zambia, Botswana,Namibia and...

 

10 years ago

Michuzi

Mtwara wapewa Mafunzo ya Maafa

Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu wa Maafa yatoa Mafunzo ya Dhana ya Maafa kwa wataalamu kutoka Halmashauri na Manispaa ya Mkoa wa Mtwara kwa ajili ya kuandaa Mpango wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa. Miongoni mwa masuala yanaoelezwa ni pamoja na, jinsi ya Kujiandaa na Maafa, Kukabili, Kuzuia na namna ya kurudisha hali baada ya Maafa kutokea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa wapewa mafunzo maalum Rwanda

Kundi la vijana nchini Rwanda limeanzisha mradi wa kutunza mbwa kwa minajili ya masuala tofauti ya kusaidia na kuimarisha maisha

 

9 years ago

Mwananchi

Bodaboda 400 wapewa mafunzo ya udereva

Babati. Waendesha bodaboda 425 wa Kata ya Endakiso wilayani Babati Mkoa wa Manyara wamekabidhiwa leseni na vyeti vya kuhitimu mafunzo ya udereva katika Taasisi ya Ant Poverty Enviromental Care (APEC).

 

10 years ago

Vijimambo

WASAIDIZI WA KISHERIA 25 WAPEWA MAFUNZO RUNGWE.

 Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Christopher Nyambaza, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo wakati akifunga mafunzo ya wiki moja ya Wasaidizi wa kisheria yaliyotolewa na House of Peace. Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Amon Nyingi, akimkaribisha mgeni rasmi katika kufunga mafunzo ya wasaidizi wa kisheria. Mratibu wa Mafunzo ya Wasaidizi wa Kisheria, Dorothy Ndazi kutoka House of Peace akisoma taarifa kwa mgeni rasmi. Mmoja wa Wanafunzi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO YA HAKI ZA BINADAMU

Mratibu wa Mafunzo ya Haki za Binadamu kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar Bi.Jina Mwinyi Waziri akiwakaribisha Maofisa Polisi katika Mafunzo ya Haki za Binadamu kwa Jeshi la Polisi .Mkurugenzi Mtendaji Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC Bi.Harusi Miraji Mpatani akimkaribisha Mgeni Rasmi Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame katika Mafunzo ya kuwajengea uwezo Polisi juu ya umuhimu wa kutunza Haki za Binadamu.Mgeni Rasmi Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdan Omar Makame...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani