Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAFUNZO YA MPIRA WA RUGBY YAENDESHWA SHULE ZA MSINGI DAR

G4S Secure Solutions in partnership with Bhubesi pride have organized a rugby program involving primary schools in Tanzania with the aim of uniting children, empowering local teaching staff and inspiring young leadership.   This is through “Rugby in Africa” project that sees almost ten African countries, in which Tanzania became the 5th country to be visited primarily to support rugby and for community development.   The competition that was held during the weekend in Masaki, Dar es Salaam...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAFUNZO YA MPIRA WA RUGBY YAENDESHWA SHULE ZA MSINGI DAR‏

Mapambano Primary school pupils in action  as they train rugby  at playgrounds of  Tanganyika International School, Masaki in Dar es Salaam yesterday.  The program is sponsored by G4S Tanzania and is run in ten African countries as strategies to promote and unite African children through rugby. According to organizers, the countries are Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Malawi, Zambia, Botswana,Namibia and...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI YA BAJAVERO DAR WAPATA MAFUNZO JUU YA HEDHI SALAMA

 Mratibu wa Mradi wa Afya wa Help Kids Edith Peter Mziray akiwasihi wanafunzi kuwa wasikivu wakati wa semina ya Hedhi salama
Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko ambao pia ni waandaaji wa siku ya Hedhi Duniani kwa Tanzania akiwauliza wanafunzi wa Darasa la tano hadi la saba changamoto wazipatazo wakati wanapoingia katika siku zao na pia kuwaelimisha juu ya Hedhi salama. 
 Mwanafunzi wa Darasa la Tano Anitha Norbart (12) akiuliza swali kama ni sahihi kutumia Mdalasini wakati...

 

9 years ago

Michuzi

TOTAL TANZANIA YADHAMINI MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI KWA SHULE 10 ZA MSINGI JIJINI DAR


 Askali wa usalama barabarani akitoa mafunzo kwa wanafunzi wa shule ya za msingi jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wanafunzi wakiwa navyeti walivyo tunukiwa mara baada ya kupata mafunzo ya usalama barabarani jijini Dar es Salaam. 
Na Tom Bishop. KAMPUNI  ya Mafuta ya Tatal  Tanzania imedhamini mafunzo ya usalama barabarani kwa shule za msingi 10 jijini Dar es Salaam. Udhamini wa mafunzo hayo yamegharimu kiasi cha Dola za Kimarekani 20,000 kupeleka kwenye mradi wake wa elimu ya usalama...

 

10 years ago

GPL

OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA MAKUMBUSHO YA TAIFA WATOA MAFUNZO KWA SHULE ZA MSINGI DAR

Ofisa Elimu wa Makumbusho ya Taifa, Anamary Bagenyi (kulia) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafunzo hayo. Kushoto ni Ofisa Ustawi wa Jamii, Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, Elimida Kashuna. Ofisa Ustawi wa Jamii, Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, Elimida Kashuna (katikati), akizungumzia mafunzo hayo mbele ya wanahabari.… ...

 

11 years ago

Michuzi

TAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR

Taasisi isiyo ya kiserikali ya TAI - Tanzania Aspiration Initiatives imefanya mafunzo ya kulinda afya kwa vitendo kwa wanafunzi Zaidi ya 200 wa Darasa la Kwanza, la pili na darasa la awali katika shule ya msingi Kilimani iliyopa Sinza Uzuri wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam ikiwa ni muendelezo wa miradi miwili inayojulikana kama Mikono Ming’avu (MiMi) na Kinywa Kisafi (KiKi).
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...

 

11 years ago

Michuzi

TAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR ES SALAAM

 Katibu Mkuu wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Tanzania Aspiration Initiatives - TAI Bw. Gwamaka Mwabuka akitoa maelekezo kwa mwanafunzi wa darasa la pili shule ya Msingi Kilimani Juma Abdul jinsi ya kunawa mikono kwa usahihi ili kuipeka magonjwa. Wanaoshuhudia ni baadhi ya wanafunzi toka Denmark waliopata mualiko na TAI kupitia taasisi ya Global Platform.    Wanafunzi wa darasa la pili shule ya msingi Kilimani wakijifunza kwa vitendo jinsi ya kusafishwa kinywa na kuepukana na magonjwa...

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MLIMANI WAPATIWA MAFUNZO.

 Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mlimani, Mariam Mrisho (kushoto) akisoma ujumbe ulioandikwa kwenye bango kwa ajili ya kutoa elimu kwa madereva wakati wa kuadhimisha siku ya Afya na Usalama Kazini Duniani. Hafla hiyo iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania ilifanyika katika shule hiyo jijini Dar es Salaam. Mwanaidi Khamis mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mlimani jijini Dar es Salaam (kushoto) akisoma ujumbe ulioandikwa kwenye bango kwa ajili ya kutoa elimu kwa madereva wakati wa kuadhimisha siku ya...

 

11 years ago

Michuzi

ziara mafunzo ya wanachuo na wanafunzi wa shule za msingi bungeni dodoma leo

 Mbunge wa viti maalum,  Mhe.Susan Kiwanga akiwapa maelezo wanachuo kutoka chuo cha Uuguzi  cha Edgar Maranta Ifakara ambao wapo katika ziara ya kimafunzo Bunge.  Mbunge wa Chalinze Mhe.Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wanafunzi kutoka Mvomero ambao wapo katika ziara ya kimafunzo katika kujionea shjughuli za Bunge.  Mhe.Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na na Wanafunzi kutoka Mvomero katika viwanja vya Bunge.  Mbunge wa Mvomero Mhe Amos Makala ambaye pia ni Naibu Waziri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani