TAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-DOYl7_-lIfE/Uvfgb5jOVLI/AAAAAAAAdg0/wm9n4z7rbnE/s72-c/unnamedG.jpg)
Taasisi isiyo ya kiserikali ya TAI - Tanzania Aspiration Initiatives imefanya mafunzo ya kulinda afya kwa vitendo kwa wanafunzi Zaidi ya 200 wa Darasa la Kwanza, la pili na darasa la awali katika shule ya msingi Kilimani iliyopa Sinza Uzuri wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam ikiwa ni muendelezo wa miradi miwili inayojulikana kama Mikono Ming’avu (MiMi) na Kinywa Kisafi (KiKi).
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI YA BAJAVERO DAR WAPATA MAFUNZO JUU YA HEDHI SALAMA
Mkurugenzi mtendaji wa Kasole Secrets Hyasintha Ntuyeko ambao pia ni waandaaji wa siku ya Hedhi Duniani kwa Tanzania akiwauliza wanafunzi wa Darasa la tano hadi la saba changamoto wazipatazo wakati wanapoingia katika siku zao na pia kuwaelimisha juu ya Hedhi salama.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bARvaVCmH-0/VfABeeEHq_I/AAAAAAAH3iA/TmiGs0m7708/s72-c/IMG-20150901-WA0020.jpg)
TOTAL TANZANIA YADHAMINI MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI KWA SHULE 10 ZA MSINGI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-bARvaVCmH-0/VfABeeEHq_I/AAAAAAAH3iA/TmiGs0m7708/s640/IMG-20150901-WA0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0otNurSi4ZY/VfABeSGeAmI/AAAAAAAH3h8/tSEy1sINCGA/s640/IMG-20150831-WA0020.jpg)
Na Tom Bishop. KAMPUNI ya Mafuta ya Tatal Tanzania imedhamini mafunzo ya usalama barabarani kwa shule za msingi 10 jijini Dar es Salaam. Udhamini wa mafunzo hayo yamegharimu kiasi cha Dola za Kimarekani 20,000 kupeleka kwenye mradi wake wa elimu ya usalama...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
PPF yatoa msaada kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi, Shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s640/PPF_ALBINO2.jpg)
Meneja Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele, (kushoto), na Afisa wa Fedha Mwandamizi wa Mfuko huo, Angel Mukasa, (kulia), na Mfanyakazi mwingine wa Mfuko huo, Omari Bundile, (wapili kushoto), wakigawa mafuta maalum yanayotumiwa na watu wenye ulemavu wa ngozi, pamoja na sare za shule na viatu kwa wanafunzi hawa wenye ulemavu wa ngozi wa shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es Salaam leo Septemba 11, 2015. Katika kutekeleza sera ya mfuko ya kusaidia jamii,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s72-c/PPF_ALBINO2.jpg)
PPF YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI, SHULE YA MSINGI YA JESHI LA WOKOVU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s640/PPF_ALBINO2.jpg)
10 years ago
GPLOFISI YA MAKAMU WA RAIS NA MAKUMBUSHO YA TAIFA WATOA MAFUNZO KWA SHULE ZA MSINGI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mZhfCp-JlLc/U9CxiXlSt_I/AAAAAAAF5dA/MOCSU7dCycQ/s72-c/Ukaguzi+1.jpg)
WAHANDISI TANESCO WATEMBELEA KIWANDA CHA SAO HILL KWA MAFUNZO KWA VITENDO JUU UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
Ziara ya wahandisi hao wa TANESCO inalenga katika kuwawezesha katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Wahandisi hao wamepata fursa ya kutembela kiwanda cha Sao...
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA, DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
TICTS yakabidhi msaada wa vitabu kwa shule ya msingi Mivinjeni jijini Dar
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/215.jpg)