Mabeki Yanga wapewa onyo kali
Cairo, Misri. Mashabiki wa Zamalek wamechekelea kitendo cha Wizara ya mambo ya ndani Misri kuzuia mashabiki katika mchezo wa Al Ahly Jumapili wiki hii, lakini wakawatahadharisha mabeki wa Yanga kuepuka kutumia nguvu katika kuwakaba washambuliaji wa wapinzani wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mbrazili wa Yanga apewa onyo kali
10 years ago
Habarileo30 Jun
Wauza mafuta wapewa onyo
SERIKALI imesema itawachukulia hatua kali wafanyabiashara wa mafuta, ikiwamo kuwafungia vituo vyao na pia kufuta leseni zao watakaobainika kugoma kuuza nishati hiyo.
10 years ago
Habarileo15 Dec
Vijana Lindi wapewa onyo
VIJANA wa Wilaya ya Lindi Mjini wametahadharishwa kutokubali kudanganywa na kutumiwa kufanya vurugu ambazo zinaharibu vitu vichache walivyonavyo na kwa kufanya hivyo wanarudisha nyuma maendeleo yao.
10 years ago
Habarileo01 Mar
Wanaovamia viwanja wapewa onyo
na kuendeleza viwanja visivyokuwa vyao, wametakiwa kuacha tabia hiyo na kwamba Serikali haitasita kubomoa ujenzi wowote uliofanywa katika mazingira hayo.
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Polisi yatoa onyo kali Kalenga
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limepiga marufuku wananchi kuhudhuria mikutano ya kampeni wakiwa na marungu na mapanga, hasa wakati huu wa kampeni za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga....
9 years ago
Habarileo30 Oct
Kocha Yanga: Mabeki wametuangusha Sh’nyanga
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, ameitupia lawama safu yake ya ulinzi kwa kusema ilikosa umakini na kusababisha wapinzani wao Mwadui FC kusawazisha bao la pili dakika za mwisho.
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Urusi yatoa onyo kali kwa Ukraine
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Obama atoa onyo kali kwa Urussi