Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhimbili yatoa onyo

Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), umesema umejipanga kuwanasa baadhi ya wafanyakazi wasiyo waaminifu wanaoshirikiana na madaktari ‘vishoka’ kuwatapeli wagonjwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali yatoa onyo urais 2015

Suala la baadhi ya viongozi nchini kuanza kampeni za kuwania urais mwaka 2015 kwa kumwaga fedha ili kujijengea mazingira ya ushindi, limechukua sura mpya baada ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuanza kuwabana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yatoa onyo kali Kalenga

JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limepiga marufuku wananchi kuhudhuria mikutano ya kampeni wakiwa na marungu na mapanga, hasa wakati huu wa kampeni za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga....

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC yatoa onyo kwa serikali ya Kenya

Mahakama ya ICC, imeonya serikali ya Kenya dhidi ya kufichua taarifa kuhusu kesi inayomkabili Rais Uhuru Kenyatta kwa vyombo vya habari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yatoa onyo kali kwa Ukraine

Urusi imeionya Ukraine kuancha maandalizi yoyote ya kijesh katika majimbo yanayotaka kujitenga

 

10 years ago

Habarileo

JWTZ yatoa onyo kwa wanaovamia viwanja

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeonya wananchi wanaovamia maeneo yanayomilikiwa na jeshi, kuacha tabia hiyo mara moja, kwani inahatarisha usalama wa maeneo ya kambi na maisha yao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watford yatoa onyo Ligi kuu England.

Ligi kuu ya soka ya England imendelea kwa michezo miwili,ambapo Watford waliwaalika Liverpool na pia swansea dhidi ya West Ham.

 

10 years ago

BBCSwahili

China yatoa onyo mgogoro wa Hong Kong

China imetoa onyo kali dhidi ya maandamano yanayoendelea Hong Kong kwa kusema mgogoro huo unahusu mambo ya ndani ya China

 

10 years ago

BBCSwahili

Polio:Pakistan yatoa onyo kwa wazazi

Wazazi nchini Pakistan watakaopinga watoto wao kupewa chanjo ya ugonjwa wa kupooza wa Polio watachukuliwa hatua kali

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yatoa onyo kwa Lowassa kuhusu udini

Siku moja baada ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa kukaririwa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii akidaiwa kuwataka waumini wa Kilutheri kumchagua, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeonya kitendo hicho huku ikitishia kumzuia kuendelea na kampeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani