Polisi wafutwa kazi Kigoma
Polisi mkoani Kigoma imewafukuza kazi askari wake watatu kwa kusambaza taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii juu ya utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wa jeshi hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Ufisadi:Polisi 63 wafutwa kazi Kenya
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Wakuu wa polisi wafutwa kazi- Lamu,Kenya
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Wanajeshi wa Marekani wafutwa kazi
11 years ago
Habarileo18 Jul
Trafiki 27 wafutwa kazi kwa rushwa
ASKARI 27 wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani wamefukuzwa kazi ndani ya kipindi cha miezi sita kutokana na kujihusisha na makosa ya rushwa.
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Waislamu waliogoma wafutwa kazi Marekani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qMMPN7dJBVk/XuD0ChRTsEI/AAAAAAALtZU/sAf-X6cBvJ0ToCWRum_QiWwRdz8oA69oQCLcBGAsYHQ/s72-c/FUTA%2B%25281%2529.png)
Watumishi wawili wafutwa kazi Njombe,watano wapewa onyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-qMMPN7dJBVk/XuD0ChRTsEI/AAAAAAALtZU/sAf-X6cBvJ0ToCWRum_QiWwRdz8oA69oQCLcBGAsYHQ/s640/FUTA%2B%25281%2529.png)
Watumishi waliofutwa kazi ni Patrick Kigola mtendaji wa kijiji cha mfiliga pamoja na Asma Ally ambaye ni mtabibu ambao wanadaiwa kukutwa na makosa...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Polisi Kigoma waua majambazi watano Kigoma
5 years ago
BBCSwahili27 May
George Floyd: Maafisa wanne weupe wafutwa kazi kufuatia kifo cha mtu mweusi ambaye hakujihami
9 years ago
StarTV07 Jan
Watumishi 9 Halmashauri ya Kigoma Ujiji wasimamishwa kazi
Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kigoma imewasimimisha kazi watumishi tisa wa halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji ili kupitisha uchunguzi zaidi juu ya tuhuma za ubadhilifu wa fedha unaohusisha uuzwaji wa jengo la KIGODECO na viwanja 12 vya manispaa hiyo na kuisababishia manispaa hiyo kupata hasara ya mamilioni ya fedha.
Kusimamishwa kwa watumishi hao kunakuja ikiwa ni takribabi wiki moja tangu waziri mkuu Kasimu Majaliwa alipokuwa mkoani kigoma kumueleza katibu tawala wa mkoa huo ...