Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Simba wapewa vifaa

KAMPUNI ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager jana ilikabidhi vifaa vya michezo vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 70 kwa timu za Yanga na Simba kwa ajili ya Ligi Kuu inayotazamiwa kuanza Septemba 12.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wa nyuki wapewa vifaa kazi

MFUKO wa Hifadhi ya Misitu Tanzania (TaFF) kwa kushirikiana na Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Kanda ya Kitapilimwa (MJUMIKK) umewakabidhi wajasiriamali mashine sita za kukamua asali na mizinga 20. Vifaa...

 

10 years ago

GPL

TSJ WAPEWA ZAWADI ZA VIFAA VYA HABARI

Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari cha TSJ, Blandina Semaganga(kushoto), Sweetbeth Bruno wa The Sanitarium Kliniki (katikati) pamoja na Dr. Fadhil Emily. Wanachuo wa TSJ wakifurahia msaada huo. Mwanachuo wa TSJ, Florida Moses akitumbuiza katika hafla hiyo.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU WA KITUO CHA CHILD IN THE SUN WAPEWA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE NA TCAA

Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Ally CHangwila akimkabidhi msaada wa Madaftari na vyakula mbalimbali Samson Ali (12) ambaye ni mmoja wa watoto waishio katika mazingira magumu ambao hivi sasa wanalelewa katika Kituo cha Child In The Sun kilichopo Manzese Dar es Salaam kituo hicho kinachomilikiwa na Kanisa Katoliki.watoto hao wanapatikana kwa kukusanywa mitaani. Mwalimu wa Kituo cha Kulea watoto waishio katika mazingira Magumu cha Child In The Sun kilichopo...

 

10 years ago

GPL

Jaja, Coutinho wapewa siri kuiua Simba

Mshambuliaji wa Yanga, Geilson Santana 'Jaja'. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameonekana kupania timu yake iwafunge wapinzani wake Simba mabao mengi, baada ya kuonekana akiiongezea mbinu safu yake ya ushambuliaji kwenye mazoezi yake. Hiyo ni baada ya kuiona safu ya ulinzi ya watani wao wa jadi, Simba haipo imara kwenye mechi zake tatu mfululizo za Ligi Kuu Bara ilizozicheza.Safu… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mabeki Yanga wapewa onyo kali

Cairo, Misri. Mashabiki wa Zamalek wamechekelea kitendo cha Wizara ya mambo ya ndani Misri kuzuia mashabiki katika mchezo wa Al Ahly Jumapili wiki hii, lakini wakawatahadharisha mabeki wa Yanga kuepuka kutumia nguvu katika kuwakaba washambuliaji wa wapinzani wao.

 

10 years ago

Vijimambo

AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0

 Timu ya Yanga imeendeleza uteja tena leo katika mchezo wa wahasimu hao uliochezwa uwanja wa taifa leo baada ya timu ya Simba kuibamiza Yanga goli 1 bila majibu goli lililofungwa na Emmanuel Okwi mchezaji aliyeikimbia timu hiyo yenye masikani yake Jangwani katika dakika ya 52. Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika mpambano.Mchezaji Simon Msuva akijaribu kufanya mashambulizi goli mwa Simba shuti lake halikuweza kuleta madhara yeyote mpaka dakika 90 Simba 1 na Yanga 0. Picha kwa hisani ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani