NITASIMAMIA SHERIA KWA KUWAWAJIBISHA WATAKAO PINDISHA SHERIA KWA MANUFAA YAO-DKT MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-HlNu1m9ZpxU/Ve3Tr_LFnzI/AAAAAAAC-wc/qHUBG8wlf0w/s72-c/_MG_2991.jpg)
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli(katikati) akiwanadi Mbunge wa Handeni Mjini Dk. Abdallah Kigoda (kulia) na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Kigoda mjini Handeni.
Wakati kampeni za kuwania Urais,Ubunge na Udiwani zikidizi kushika kasi nchini,Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli,amesema atasimamia utawala wa sheria kwa kuwawajibisha wale...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s72-c/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KWA MUJIBU WA SHERIA NDOA HIZI HAZIRUHUSIWI
![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s400/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
Hapa kwetu Tanzania tunazo ndoa za aina kuu mbili. Kwanza tunazo ndoa za kiraia au kiserikali, na pili tunazo ndoa za kimila.
Ndoa za kiraia au za kiserikali kama zinavyojulikana kwa wengi ni zile ambazo hufungwa chini ya usimamizi wa mamlaka za serikali kama ofisi ya mkuu wa wilaya n.k. Na kwa upande wa ndoa za kimila hizi ni zile ambazo hufungwa kutokana na taratibu za watu wa kabila au koo fulani kwa mujibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2.-scaled.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Waaswa kufuga nyuki kwa manufaa yao
WANANCHI mkoani Morogoro wametakiwa kufuga nyuki kwa njia ya kisasa ili kuongeza uzalishaji, kuinua kipato na kujitengenezea fursa za ajira.
Hayo yalibainishwa jana na mtaalamu wa ufugaji nyuki kutoka asasi ambazo zinafuga nyuki kwa njia ya kisasa katika Tarafa ya Turiani wilaya ya Mvomero, Baiton Mshani, alipozungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Alisema ufugaji nyuki unaweza kutoa ajira kwa vijana wengi na kuondoa dhana potofu ya kusubiri ajira toka serikalini iliyojenga kwa...
10 years ago
VijimamboKITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA (ZLSC) ZANZIBAR CHATOA MAFUNZO KWA WASAIDIZI WA SHERIA WA MAJIMBO YA ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi15 May
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3brXBUnauTg/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-APapVOpDzDQ/XquzLpI_uHI/AAAAAAAC4Tc/IDQkABaHulYvXEBNbwba6ekYUfTKVOmngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200501_082631.jpg)
TANZIA: WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MH. BALOZI DKT. AUGUSTINE MAHIGA AFARIKI DUNIA...RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
![](https://1.bp.blogspot.com/-APapVOpDzDQ/XquzLpI_uHI/AAAAAAAC4Tc/IDQkABaHulYvXEBNbwba6ekYUfTKVOmngCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200501_082631.jpg)
Mhe. Balozi Mahiga ameugua ghafla akiwa nyumbani kwake Jijini Dodoma na amefikishwa hospitali akiwa tayari ameshafariki dunia.
Mhe. Rais Magufuli ametoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job...
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali kuongeza adhabu kwa wanaovunja sheria kwa kuzidisha mizigo
Serikali inatarajia kuongeza adhabu ya makosa ya uzidishaji mizigo inayosafirishwa kwenye magari kwa njia barabara kuwa kubwa kuliko thamani ya mizigo inayosafirishwa ili kukomesha vitendo vya ukiukaji wa sheria za usafirishaji ambao unasababisha uharibifu wa barabara nchini.
Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano amesema kabla ya kufanya maamuzi hayo, watakaa na wadau wa barabara kuwashirikisha uamuzi huo ili kuzifanya barababra nchini kuwa salama.
Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi...
5 years ago
MichuziSHERIA YA KODI YATOA MSAMAHA KWA MAPATO YASIYOZIDI MILIONI 4 KWA MWAKA