Manufaa mengi ya mende kwa binadamu
Mende huchukiwa sana na watu na huhusishwa na uchafu na maradhi. Lakini wajua kwamba wadudu hawa wana manufaa makubwa sana kwa binadamu?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 May
Lozi: aina ya njugu yenye manufaa mengi mwilini
10 years ago
Vijimambo
Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake

Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini,...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Je unatumia viungo vya chakula kwa namna inayofaa kwa manufaa ya afya yako?
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Manusura wa mgodi TZ walikula 'mende na vyura'
11 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Yanayoendelea Bungeni kwa manufaa ya nani?
LEO na jana jioni katika Vyombo Vya Habari na mitandao ya kijamii, imemnukuu aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akiendelea kusikitishwa na kinachoendelea bungeni, mjini...
11 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Waaswa kufuga nyuki kwa manufaa yao
WANANCHI mkoani Morogoro wametakiwa kufuga nyuki kwa njia ya kisasa ili kuongeza uzalishaji, kuinua kipato na kujitengenezea fursa za ajira.
Hayo yalibainishwa jana na mtaalamu wa ufugaji nyuki kutoka asasi ambazo zinafuga nyuki kwa njia ya kisasa katika Tarafa ya Turiani wilaya ya Mvomero, Baiton Mshani, alipozungumza na waandishi wa habari mjini hapa.
Alisema ufugaji nyuki unaweza kutoa ajira kwa vijana wengi na kuondoa dhana potofu ya kusubiri ajira toka serikalini iliyojenga kwa...
11 years ago
BBCSwahili14 May
Mvinyo haina manufaa kwa Afya yako
10 years ago
StarTV31 Dec
Waliohitimu JKT wahimizwa kuyatumia kwa manufaa ya taifa
Na Magesa Magesa
Arusha
Vijana wanaohitimu mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria wameaswa kuyatumia mafunzo wanayoyapata katika kambi mbalimbali hapa nchini kwa faida ya Taifa.
Hatua hii inaelezwa kuwa kama itazingatiwa na vijana wanaohitimu mafunzo ya muda mfupi ya JKT upo uwezekano mkubwa wa taifa kuwa na vijana ambao watakuwa waadilifu pindi watakapokuwa wakilitumikia taifa.
Akizungumza na wahitimu hao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daudi Ntibenda amewataka kuyatumia vizuri katika...
11 years ago
Dewji Blog17 Oct
Redio jamii zisikubali kutumiwa na wanasiasa kwa manufaa binafsi
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mtungi kuzungumza na washiriki 31 wa mtandao wa redio jamii Tanzania (COMNETA) unaotekeleza mradi wa demokrasia na amani (DEP) kuelekea uchaguzi mkuu 2015 wanaohudhuria warsha ya siku nne inayoendelea mjini Dodoma.
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini...