WALALAMIKA KWA KUTOTAJWA KATIKA FILAMU YA FURIOUS 7
![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulkQLooFedGRprcK-eK1zL6Z1iFq7eej8Ws60J0bOGhEYJ7rrVFs02fAnCndjHvdQZ*b7c8zvvy1z77JX3EGa9rf/FASTFURIOUS.jpg?width=650)
The Rock, Vin Diesel na Paul Walker ni baadhi ya majina ambayo yametajwa mwishoni mwa filamu ya kusisimua ya "Furious 7" iliyoingia sokoni hivi karibuni ... tatizo ni kwamba kuna baadhi ya watu ambao walishiriki kikamilifu kwenye matukio muhimu ya filamu hiyo ambao hawakupewa 'credit' mwishoni. Sehemu ya matukio waliyoshiriki watu hao. Vyanzo vya karibu na wazalishaji wa filamu hiyo vimeeleza kuwa watu hao walishiriki katika...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Oct
Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton F. Gary Gray kuingoza Furious 8
5 years ago
Africanjam.Com![](https://2.bp.blogspot.com/-NZBIjQk5MkU/WFVITK-g9tI/AAAAAAAAF7M/eiKyQDS3d0oCw1qAyNEoitTiXpj8vPqQgCLcB/s72-c/africanjam.jpg)
MOVIE TRAILER: FAST & FURIOUS 8 "FATE OF THE FURIOUS" | Official Trailer 2017 |
![](https://2.bp.blogspot.com/-NZBIjQk5MkU/WFVITK-g9tI/AAAAAAAAF7M/eiKyQDS3d0oCw1qAyNEoitTiXpj8vPqQgCLcB/s640/africanjam.jpg)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Bongo513 Mar
Wazazi katika shule anayosoma mtoto wa Beyonce na Jay Z walalamika, fahamu ni kwanini!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vTiH9EdcK0A/VNn4HfokBOI/AAAAAAAAenU/moMXVyN_1WQ/s72-c/slim.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Feb
Walalamika mikataba kupelekwa kwa AG
UTARARIBU wa kupeleka mikataba yote ya miradi ya barabara yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 50 kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), umelalamikiwa kutokana na kukwamisha miradi ya barabara katika halmashauri za Manispaa za Mkoa wa Dodoma.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-kRVvOMIq32s/VXQCYwoK9gI/AAAAAAAAB80/2G98T82irD4/s72-c/Fast.jpg)
KAA TAYARI KWA "FAST AND FURIOUS 8" HII NDIO TAREHE ITAKAYOZINDULIWA..
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRVvOMIq32s/VXQCYwoK9gI/AAAAAAAAB80/2G98T82irD4/s400/Fast.jpg)
![fast 8 2](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/fast-8-2.jpg?resize=677%2C405)
10 years ago
Bongo Movies17 Jun
Rose Ndauka Atoa Somo Kwa Wateja Wa DCB Commercial Bank Plc Katika Filamu Desire to Succeed
Filamu ya Kuelimisha jamii Inayojulikana kama DESIRE TO SUCCEED (HAMU YA MAFANIKIO) kuzinduliwa Siku ya Jumamosi tarehe 25 Juni 2015, Saa 12.00 Jioni katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX Dar Free Market.
MWIGIZAJI Nyota katika tasnia ya filamu Rose Ndauka pamoja na wasanii wengine wakali katika tasnia ya filamu wameshiriki katika sinema maalum kwa ajili ya kuelimisha jamii kuhusu huduma za Benki ya DCB Commercial Bank ambapo wateja wa Benki hiyo na wateja wapya watatambua huduma na faida...
10 years ago
Bongo Movies19 Jan
Sakata la kushushwa kwa bei za filamu.Watayarishaji filamu nao waibuka