Rose Ndauka Atoa Somo Kwa Wateja Wa DCB Commercial Bank Plc Katika Filamu Desire to Succeed
Filamu ya Kuelimisha jamii Inayojulikana kama DESIRE TO SUCCEED (HAMU YA MAFANIKIO) kuzinduliwa Siku ya Jumamosi tarehe 25 Juni 2015, Saa 12.00 Jioni katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX Dar Free Market.
MWIGIZAJI Nyota katika tasnia ya filamu Rose Ndauka pamoja na wasanii wengine wakali katika tasnia ya filamu wameshiriki katika sinema maalum kwa ajili ya kuelimisha jamii kuhusu huduma za Benki ya DCB Commercial Bank ambapo wateja wa Benki hiyo na wateja wapya watatambua huduma na faida...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDCB COMMERCIAL BANK KUZINDUA FILAMU YA ‘HAMU YA MAFANIKIO’
10 years ago
MichuziFILAMU YA HAMU YA MAFANIKIO ‘DESIRE TO SUCCEED’ IMENDULIWA JANA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3H9CbNacY84/default.jpg)
10 years ago
GPLROSE NDAUKA ATOA ZAWADI KWA WATOTO WALEMAVU
10 years ago
VijimamboDCB COMMERCIAL BANK WADHAMINI MASHINDANO YA TANZANIA BANKERS & PUBLIC FUNDS CUP
10 years ago
GPLDCB COMMERCIAL BANK WADHAMINI MASHINDANO YA TANZANIA BANKERS & PUBLIC FUNDS CUP
10 years ago
Michuzi11 Mar
DCB COMMERCIAL BANK WADHAMINI MASHINDANO YA TANZANIA BANKERS & PUBLIC FUNDS CUP
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Rose Ndauka: Sisikitiki kukosa tuzo za filamu
NA RHOBI CHACHA
WAKATI tuzo ya mwigizaji bora wa kike ikienda kwa Irene Paul, mwigizaji mwenzake, Rose Ndauka ameibuka na kukubali matokeo hayo huku akidai wakati alipopata tuzo nyingine wengine hawakupata.
Rose Ndauka alikubali kwamba aliyestahili ni Irene Paul kwa kuwa ni changamoto kwake na kwa wasanii wengine.
“Nakubaliana na matokeo sisikitiki kukosa tuzo hiyo, siwezi kuwalalamikia wananchi kwani wao ndio walioona filamu zilizoshindanishwa wakachagua,’’ alisema Rose na kuongeza:
“Kwenye...
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
KALEKWA:Filamu Mpya ya Richie na Rose Ndauka Tayari Kuingia Sokoni
Ile filamu iliyokuwa ikusubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki wengi,sasa ipo tayari imeshakamilika na inatarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni.
Filamu hiyo inayokwenda kwa jina la KALEKWA imefanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment, na inawajumuisha waigiza Single Mtambalike ‘Richie’ na Rose Ndauka ambao kwa pamoja wamekuwa wakitengeneza mvuto mkumbwa kwa mashabika na wapenzi wa filamu hapa inchini.
Jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Richie ambaye ndio...