KALEKWA:Filamu Mpya ya Richie na Rose Ndauka Tayari Kuingia Sokoni
Ile filamu iliyokuwa ikusubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki wengi,sasa ipo tayari imeshakamilika na inatarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni.
Filamu hiyo inayokwenda kwa jina la KALEKWA imefanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment, na inawajumuisha waigiza Single Mtambalike ‘Richie’ na Rose Ndauka ambao kwa pamoja wamekuwa wakitengeneza mvuto mkumbwa kwa mashabika na wapenzi wa filamu hapa inchini.
Jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Richie ambaye ndio...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
Nyuma ya Kamera: KALEKWA Ndio Jina la Movie Mpya ya Richie na Rose Ndauka
Hizi ni baadhi ya picha za nyuma ya kamera zilizopiga wakiwa ON SET kwenye utengenezaji wa filamu mpya itakayoitwa KALEKWA, inayofanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment.
Movie hii mpya itawajumisha waigizaji wakali wengi wakiwemo Single matambalike “Richie”ambae ndio mwongozaji wa filamu hii na pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Bulls Entertainment na mwanadada Rose Ndauka amabao kwa pamoja wamekuwa wakitoa vitu vikali sana.
Tunaisubiri kwa hamu!!!.
10 years ago
Bongo Movies25 Dec
TETESI:Rose Ndauka na Richie Warudiana!!!!
Waigizaji wa filamu wa hapa bongo waliowahi kuwa wapenzi enzi hizo, Rose Ndauka na Single Mtambalike ‘Richie’ wanadaiwa kurudiana na hivi sasa ni mapenzi motomoto!Kwa mujibu wa chanzo, Rose na Richie wamedaiwa kurudiana baada ya mwanadada huyo kumwagana na mzazi mwenzake, Malick Bandawe miezi ya hivi karibuni.
“Hivi nyie wadaku mnajua Rose Ndauka na Richie sasa hivi ni mahaba niue kama zamani? Wamekuwa wakigandana na mara nyingine hupatikana maeneo ya Bahari Beach (jijini Dar) kiasi kwamba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe6N--e*QBbg1rwpNCeapG9ZTTX7v2rAg7Wy*bScmL1PbYO--R4kbrWFImGhZZSVEJdc0nCTSobR29nc*Ze1-UDz/10.jpg)
MADAI MAZITO ROSE NDAUKA, RICHIE WARUDIANA
10 years ago
Bongo Movies12 Dec
Rose Ndauka na Richie:Pamoja Tena!!! Kaa Mkao wa Kula
Ikiwa ni siku chache tu zimebakia tuuage mwaka 2014 na tuukaribishe mwaka wa 2015 Mungu akipenda. Waigizaji Rose Ndauka na Single Mtambalike ‘Richie ‘ waneonekana wakiwa "Location" wakitengeneza filamu mpya ambayo kwa mujibu wa Rose ndauka kazi hiyo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment na kuongozwa na Richie ambae ni mkurugenzi wa kampuni hiyo.
Rose ndauka akionekana mwenye furaha akiwa na Richie alitupia picha mtandaoni na kuandika kwa kifupi zaidi kuwa watu wakae mkao wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWD8KQhvyXbZnjAf7WMHIE95fjgP9oF8Lv2iSa-e2sZ4OYGBYEL7uWtrSe23ZZKerJ*80r1d2ARz1XGub6RRj9X-/rose.jpg)
ROSE NDAUKA: NIPO TAYARI KUOLEWA NA YEYOTE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo6F*wHeg8e7U2wgTHJpURyRb0adM*epGO7EjNIDQFyP97lhZlvSKqf79ZBKT9CWG1PGwaO9RCfSlgRttRB6oUut/pishu.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y0rrWKNCf0ILW9Zc0Gs0kV7cCAoU1aJsh9tmUlm5z9yv66tFC8g1rkWNGtmrsFMfSc7NEUD*edcOjfSGtB8YG0/AishaBuiakiwanaGabokatikamojayascenezafilamuyaMshalewaKifoiliyorekodiwaMorogoro.jpg?width=650)
FILAMU YA MSHALE WA KIFO KUINGIA SOKONI LEO
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Rose Ndauka: Sisikitiki kukosa tuzo za filamu
NA RHOBI CHACHA
WAKATI tuzo ya mwigizaji bora wa kike ikienda kwa Irene Paul, mwigizaji mwenzake, Rose Ndauka ameibuka na kukubali matokeo hayo huku akidai wakati alipopata tuzo nyingine wengine hawakupata.
Rose Ndauka alikubali kwamba aliyestahili ni Irene Paul kwa kuwa ni changamoto kwake na kwa wasanii wengine.
“Nakubaliana na matokeo sisikitiki kukosa tuzo hiyo, siwezi kuwalalamikia wananchi kwani wao ndio walioona filamu zilizoshindanishwa wakachagua,’’ alisema Rose na kuongeza:
“Kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2zOJi84y3aM/VA0CJOQKK7I/AAAAAAAGhaA/EZ7Gw03vumI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
FILAMU YA MSHALE WA KIFO KUINGIA SOKONI LEO JUMATATU
![](http://1.bp.blogspot.com/-2zOJi84y3aM/VA0CJOQKK7I/AAAAAAAGhaA/EZ7Gw03vumI/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T3ZJBrdq948/VA0CJhbcUjI/AAAAAAAGhaM/g8CwehNY6YA/s1600/unnamed%2B(2).jpg)