Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton F. Gary Gray kuingoza Furious 8

Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton, F. Gary Gray ataiongoza filamu ya Furious 8. Muigizaji wa filamu hiyo, Vin Diesel alipost picha Facebook akiwa na muongozaji huyo. Mtandao Deadline.com umeripoti kuwa wawili hao walifanya mkutano na kufikia makubaliano hayo. Gray alisemekana kuwa chaguo la kwanza la kampuni ya Universal. Sio jambo la kushangaza kwakuwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MUVI YA STRAIGHT OUTTA COMPTON YAFUNIKA KIMAUZO

 Dr. Dre New York, Marekani FILAMU ya Straight Outta Compton imetajwa kuwa ndiyo filamu iliyoweka rekodi ya kuuzwa zaidi kuliko zote ambazo zimewahi kuongozwa na mtu mweusi. Waasisi wa kundi la Straight Outta Compton. Filamu hiyo iliyotoka mwaka huu inazungumzia maisha ya Ice Cube, Dr. Dre na Eazy-E imeongozwa na Gary Gray, imeingiza zaidi ya dola milioni 157.5 ndani ya Marekani na Canada… ...

 

10 years ago

Africanjam.Com

DR. DRE RELEASE NEW ALBUM AS "STRAIGHT OUTTA COMPTON" SOUNDTRACK


Dr. Dre will finally end fans' 16-year wait for a new album when the rapper releases his Straight Outta Compton soundtrack, which will consist of new music entirely produced by The Chronic mastermind, a source tells Rolling Stone. Dre is expected to confirm the album, the companion piece to the N.W.A biopic, on his Beats 1 radio showThe Pharmacy this Saturday. 
Ice Cube appeared on Philadelphia's Power 99 Wednesday morning and let slip the news about Dre's Straight Outta...

 

9 years ago

Bongo5

Vin Diesel huenda akawa muongozaji wa Furious 8

Kuna uwezekano mkubwa Vin Diesel akawa muongozaji wa filamu mpya ya Furious 8. Hiki ndicho alichokiandika kwenye Facebook: It is no secret that my good friend Justin and I have been very intensely discussing the trilogy, as we have dreamed it for almost a decade. We know that when we re-team we will shock the […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake

Pamoja na wengi kuamini kuwa ubora wa filamu za Tanzania ni mdogo, wapo vijana wanaofanya filamu tofauti zinazowashangaza hadi wataalam wa industry hiyo nchini Marekani. Timoth Conrad akiwa na tuzo aliyoshinda hivi karibuni nchini Marekani Mmoja wa vijana hao ni Timoth Conrad Kachumia ambaye mwezi huu alishinda tuzo kwenye tamasha la Silicon Valley African Film […]

 

9 years ago

Bongo5

Wakazi kuanza kuwa muongozaji wa filamu

Wakazi

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Wakazi ameweka wazi fani yake nyingine ya kuongoza filamu ambayo anatarajia kuifanyia kazi rasmi.

Wakazi

Wakazi ameiambia Bongo5 kuwa ubunifu wake umempatia ujuzi wa kufanya vitu vingi.

“Kwenye mambo ya filamu mimi ni mtu mbunifu na watu wote ambao ni wabunifu hawawezi kujilimit,” alisema.

“So far ni kitu ambacho nakipenda na tayari nimeshashirikishwa kwenye movie moja inaitwa Bongo na Fleva lakini haijatoka ila nataka wakati ujao niweze kukaa nyuma ya kamera na kuwa...

 

10 years ago

GPL

MUONGOZAJI WA FILAMU BENII OTIENO AFARIKI DUNIA

Mdogo aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’ aitwaye Benson Okumu Otieno 'Benii' enzi za uhai wake. Mdogo aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’ aitwaye Benson Okumu Otieno 'Benii' amefariki dunia ghafla katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo, Dar mchana leo. Msiba upo Sinza Vatican Benii alikuwa muigizaji na muongozaji wa filamu...

 

9 years ago

Bongo5

Muongozaji wa filamu wa Tanzania atajwa kuwania tuzo za Marekani

Muongozaji wa filamu wa Tanzania, Timoth Conrad ametajwa kuwania tuzo za Marekani, California Online Viewers Choice Awards. Pia filamu yake Dogo Masai imechaguliwa kuwania tuzo hizo zitakazofanyika jijini Los Angeles. “Nimechaguliwa kuwania tuzo ya BEST DIRECTOR na pia filamu ya Dogo Masai inawania BEST FEATURE FILM,” ameandika kwenye Facebook. “Ninaomba sapoti yenu katika kunipigia. Unaweza […]

 

10 years ago

GPL

WALALAMIKA KWA KUTOTAJWA KATIKA FILAMU YA FURIOUS 7

The Rock, Vin Diesel na Paul Walker ni baadhi ya majina ambayo yametajwa mwishoni mwa filamu ya kusisimua ya "Furious 7" iliyoingia sokoni hivi karibuni ... tatizo ni kwamba kuna baadhi ya watu ambao walishiriki kikamilifu kwenye matukio muhimu ya filamu hiyo ambao hawakupewa 'credit' mwishoni. Sehemu ya matukio waliyoshiriki watu hao. Vyanzo vya karibu na wazalishaji wa filamu hiyo vimeeleza kuwa watu hao walishiriki katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”

Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.

By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani