Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton F. Gary Gray kuingoza Furious 8
Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton, F. Gary Gray ataiongoza filamu ya Furious 8. Muigizaji wa filamu hiyo, Vin Diesel alipost picha Facebook akiwa na muongozaji huyo. Mtandao Deadline.com umeripoti kuwa wawili hao walifanya mkutano na kufikia makubaliano hayo. Gray alisemekana kuwa chaguo la kwanza la kampuni ya Universal. Sio jambo la kushangaza kwakuwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-cZGQf0e9NkgctySC9ZR63LcxmrhuWkkCb*hDxQaP*DewIiAy6RRROVo2*annWfpxUhX6B7Khg5Afdg1ztUPy6V/032715musicdrdre1.jpg?width=650)
MUVI YA STRAIGHT OUTTA COMPTON YAFUNIKA KIMAUZO
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-ZSoNhrZEBp0/Vbyy83EQwGI/AAAAAAAADDU/HMZFHEuVXRo/s72-c/dr-dre-beats.jpg)
DR. DRE RELEASE NEW ALBUM AS "STRAIGHT OUTTA COMPTON" SOUNDTRACK
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZSoNhrZEBp0/Vbyy83EQwGI/AAAAAAAADDU/HMZFHEuVXRo/s640/dr-dre-beats.jpg)
Dr. Dre will finally end fans' 16-year wait for a new album when the rapper releases his Straight Outta Compton soundtrack, which will consist of new music entirely produced by The Chronic mastermind, a source tells Rolling Stone. Dre is expected to confirm the album, the companion piece to the N.W.A biopic, on his Beats 1 radio showThe Pharmacy this Saturday.
Ice Cube appeared on Philadelphia's Power 99 Wednesday morning and let slip the news about Dre's Straight Outta...
9 years ago
Bongo502 Oct
Vin Diesel huenda akawa muongozaji wa Furious 8
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake
9 years ago
Bongo531 Dec
Wakazi kuanza kuwa muongozaji wa filamu
![Wakazi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Wakazi-300x194.jpg)
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Wakazi ameweka wazi fani yake nyingine ya kuongoza filamu ambayo anatarajia kuifanyia kazi rasmi.
Wakazi ameiambia Bongo5 kuwa ubunifu wake umempatia ujuzi wa kufanya vitu vingi.
“Kwenye mambo ya filamu mimi ni mtu mbunifu na watu wote ambao ni wabunifu hawawezi kujilimit,” alisema.
“So far ni kitu ambacho nakipenda na tayari nimeshashirikishwa kwenye movie moja inaitwa Bongo na Fleva lakini haijatoka ila nataka wakati ujao niweze kukaa nyuma ya kamera na kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MUONGOZAJI WA FILAMU BENII OTIENO AFARIKI DUNIA
9 years ago
Bongo528 Oct
Muongozaji wa filamu wa Tanzania atajwa kuwania tuzo za Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulkQLooFedGRprcK-eK1zL6Z1iFq7eej8Ws60J0bOGhEYJ7rrVFs02fAnCndjHvdQZ*b7c8zvvy1z77JX3EGa9rf/FASTFURIOUS.jpg?width=650)
WALALAMIKA KWA KUTOTAJWA KATIKA FILAMU YA FURIOUS 7
10 years ago
Bongo Movies23 May
Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”
Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.
By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram