Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DR. DRE RELEASE NEW ALBUM AS "STRAIGHT OUTTA COMPTON" SOUNDTRACK


Dr. Dre will finally end fans' 16-year wait for a new album when the rapper releases his Straight Outta Compton soundtrack, which will consist of new music entirely produced by The Chronic mastermind, a source tells Rolling Stone. Dre is expected to confirm the album, the companion piece to the N.W.A biopic, on his Beats 1 radio showThe Pharmacy this Saturday. 
Ice Cube appeared on Philadelphia's Power 99 Wednesday morning and let slip the news about Dre's Straight Outta...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MUVI YA STRAIGHT OUTTA COMPTON YAFUNIKA KIMAUZO

 Dr. Dre New York, Marekani FILAMU ya Straight Outta Compton imetajwa kuwa ndiyo filamu iliyoweka rekodi ya kuuzwa zaidi kuliko zote ambazo zimewahi kuongozwa na mtu mweusi. Waasisi wa kundi la Straight Outta Compton. Filamu hiyo iliyotoka mwaka huu inazungumzia maisha ya Ice Cube, Dr. Dre na Eazy-E imeongozwa na Gary Gray, imeingiza zaidi ya dola milioni 157.5 ndani ya Marekani na Canada… ...

 

9 years ago

Bongo5

Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton F. Gary Gray kuingoza Furious 8

Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton, F. Gary Gray ataiongoza filamu ya Furious 8. Muigizaji wa filamu hiyo, Vin Diesel alipost picha Facebook akiwa na muongozaji huyo. Mtandao Deadline.com umeripoti kuwa wawili hao walifanya mkutano na kufikia makubaliano hayo. Gray alisemekana kuwa chaguo la kwanza la kampuni ya Universal. Sio jambo la kushangaza kwakuwa […]

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

Davido postpones ‘Baddest’ album release date again!

The award-winning Nigerian superstar and HKN Boss, Davido has once again postponed the official release of his much-anticipated album‘Baddest’ till later in September 2015. This is the second time he fails to unveil the album after announcing dates. The album was earlier scheduled to be released on June 8, 2015 but it was postponed till […]

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol release third album ‘Live And Die In Afrika’ in unique style

Sauti-Sols-Album-Cover

Kenyan award-winning group Sauti Sol release their anticipated third album: Live and Die in Afrika in unique style.

Sauti-Sols-Album-Cover

Following an exclusive Nairobi Listening Party & Press Conference, the album is available for fans in different forms and avenues. Sauti Sol are gifting their fans worldwide with free downloads of the new album for 48 hours via www.sauti-sol.com.

“You don’t have to wait any longer. The free album giveaway is our little gift to all our fans in advance of the physical copies...

 

10 years ago

Vijimambo

PRESS RELEASE: NAIROBI RAPSODY PRESENTS EXCLUSIVE FID Q ALBUM LISTENING PARTY (June 4th)


After a successful event with Brooklyn, NY hip hop artist Yasiin Bey (Mosdef) in his first East African showcase, Nairobi Rapsody is back this Thursday (4th June) with Tanzania’s hip hop wordsmith - FID Q.Welcome to Ebony Lounge from 10:00 p.m. (Thursday 4th June) for an exclusive night with Coke Studio Africa season 3 artist: FID Q of the hit Bongo Hip Hop. He will be in Nairobi, Kenya hosting a Listening Party of his upcoming third album Kitaaolojia (Streetology) for the first time. The...

 

10 years ago

Bongo5

Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’

Baada ya rapper Tyga kuitupia lawama label yake ya Young Money (YMCMB) hivi karibuni kuwa inambania album yake kutoka, rapper huyo ametumia Twitter kutangaza tarehe ya kutoka album yake inayoitwa “The Gold Album” ambayo sasa itatoka mwezi ujao. Kupitia Twitter Tyga ameandika sasa album hiyo itatoka siku mbili kabla ya sikukuu ya Christmas Dec 23. […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Soundtrack ya filamu mpya ya James Bond iliyoimbwa na Sam Smith — ‘Writing’s On The Wall’

Soundtrack ya filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ imetoka. Ni wimbo ulioimbwa na Muingereza, Sam Smith – “Writing’s On the Wall”. Smith ameingia kwenye orodha ya wanamuziki waliowahi kutumika katika kutengeneza soundtrack kwenye filamu zilizopita za James Bond. Wengine ni Adele, Tina Turner, Paul McCartney, na Shirley Bassey. Spectre inatarajiwa kuanza kuoneshwa kwenye majukmba ya […]

 

11 years ago

Bongo5

Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani

Jarida la muziki la Marekani, Billboard Magazine limeitaja album mpya na ya sita ya muimbaji wa Nigeria, 2face Idibia, ‘The ‘Ascension miongoni mwa album zilizouza zaidi wiki hii duniani. ‘The ‘Ascension ” imekamata nafasi ya 12 kwenye chart billboard. Mafanikio hayo yamepokelewa kwa furaha kubwa na mke wake Annie Macaulay-Idibia aliyetumia mtandao wa Instagram kuelezea […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani