Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi kuanza kuwa muongozaji wa filamu

Wakazi

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Wakazi ameweka wazi fani yake nyingine ya kuongoza filamu ambayo anatarajia kuifanyia kazi rasmi.

Wakazi

Wakazi ameiambia Bongo5 kuwa ubunifu wake umempatia ujuzi wa kufanya vitu vingi.

“Kwenye mambo ya filamu mimi ni mtu mbunifu na watu wote ambao ni wabunifu hawawezi kujilimit,” alisema.

“So far ni kitu ambacho nakipenda na tayari nimeshashirikishwa kwenye movie moja inaitwa Bongo na Fleva lakini haijatoka ila nataka wakati ujao niweze kukaa nyuma ya kamera na kuwa...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”

Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.

By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake

Pamoja na wengi kuamini kuwa ubora wa filamu za Tanzania ni mdogo, wapo vijana wanaofanya filamu tofauti zinazowashangaza hadi wataalam wa industry hiyo nchini Marekani. Timoth Conrad akiwa na tuzo aliyoshinda hivi karibuni nchini Marekani Mmoja wa vijana hao ni Timoth Conrad Kachumia ambaye mwezi huu alishinda tuzo kwenye tamasha la Silicon Valley African Film […]

 

11 years ago

GPL

MUONGOZAJI WA FILAMU BENII OTIENO AFARIKI DUNIA

Mdogo aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’ aitwaye Benson Okumu Otieno 'Benii' enzi za uhai wake. Mdogo aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’ aitwaye Benson Okumu Otieno 'Benii' amefariki dunia ghafla katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo, Dar mchana leo. Msiba upo Sinza Vatican Benii alikuwa muigizaji na muongozaji wa filamu...

 

10 years ago

Bongo5

Muongozaji wa filamu wa Tanzania atajwa kuwania tuzo za Marekani

Muongozaji wa filamu wa Tanzania, Timoth Conrad ametajwa kuwania tuzo za Marekani, California Online Viewers Choice Awards. Pia filamu yake Dogo Masai imechaguliwa kuwania tuzo hizo zitakazofanyika jijini Los Angeles. “Nimechaguliwa kuwania tuzo ya BEST DIRECTOR na pia filamu ya Dogo Masai inawania BEST FEATURE FILM,” ameandika kwenye Facebook. “Ninaomba sapoti yenu katika kunipigia. Unaweza […]

 

10 years ago

Bongo5

Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton F. Gary Gray kuingoza Furious 8

Muongozaji wa filamu ya Straight Outta Compton, F. Gary Gray ataiongoza filamu ya Furious 8. Muigizaji wa filamu hiyo, Vin Diesel alipost picha Facebook akiwa na muongozaji huyo. Mtandao Deadline.com umeripoti kuwa wawili hao walifanya mkutano na kufikia makubaliano hayo. Gray alisemekana kuwa chaguo la kwanza la kampuni ya Universal. Sio jambo la kushangaza kwakuwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Kundi la Best Life Music (Burundi), lashoot video ya wimbo wake na muongozaji wa Rwanda baada ya Hanscana kuwa ‘busy’

Kundi la muziki la nchini Burundi liitwalo Best Life Music, limelazimika kufanya video na muongozaji wa video wa nchini Rwanda, Meddy baada ya Hanscana waliyemtaka awali afanye video hiyo kubanwa na majukumu mengine. Meneja wa kundi hilo Kent-P, ameiambia Bongo5 kuwa baada ya wimbo ‘Better Than’ kupata nafasi Tanzania na katika nchi za Ivory Coast, […]

 

9 years ago

Bongo5

Filamu ya maisha ya Tupac kuanza kutengenezwa Atlanta

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Filamu itakayoongelea maisha ya Tupac, All Eyez On Me imeanza kufanyika jijini Atlanta, Marekani kwa mujibu wa mtayarishaji, L.T. Hutton.

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Aliandika kwenye Instagram:

IT’S BEEN A LONG JOURNEY BLOOD SWEAT AND TEARS ALL THE LIES. LL THE BULLSHIT HARD WORK HAS PAID OFF !! WE START SHOOTING IN A FEW HOURS !!!!! HISTORY WILL BE MADE ALL LOVE TO THE REAL THE FAKE THE RUMOR BELIEVER’S THE SOCIAL NETWORKING NON FACT CHECKING ASS HOLES YOU KNOW WHAT IT IS !! LET’S GO !!! #alleyezonme#tupac #2pac...

 

10 years ago

Bongo5

Wakazi na One The Incredible kuonekana kwenye filamu ‘Bongo na Fleva’

Wakazi na One The Incredible wataonekana kwenye filamu moja iitwayo Bongo na Fleva. Wakazi na One wakiwa kwenye set ya filamu ya Bongo na Fleva Wakazi ameshare picha kwenye Instagram inayomuonesha akiwa kwenye set ya filamu hiyo na kuandika: Did you know that Wakazi can act?! Well now you know!!!! Soon kwenye kideo utaona maujanja […]

 

9 years ago

Bongo5

Filamu ya Going Bongo kuanza kuoneshwa kwenye majumba sinema Dar kuanzia Dec 11

Going Bongo filamu (31)

Filamu ya Going Bongo itaanza kuoneshwa kwenye majumba ya sinema jijini Dar es Salaam, ikiwemo Century Cinemax kuanzia December 11.

Going Bongo filamu (31)

Filamu hiyo iliyoshinda tuzo ya Best East African Film (ZIFF) na Best International Film (BEFFTA UK) imechezwa na Ernest Napoleon.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani