Filamu ya maisha ya Tupac kuanza kutengenezwa Atlanta
Filamu itakayoongelea maisha ya Tupac, All Eyez On Me imeanza kufanyika jijini Atlanta, Marekani kwa mujibu wa mtayarishaji, L.T. Hutton.
Aliandika kwenye Instagram:
IT’S BEEN A LONG JOURNEY BLOOD SWEAT AND TEARS ALL THE LIES. LL THE BULLSHIT HARD WORK HAS PAID OFF !! WE START SHOOTING IN A FEW HOURS !!!!! HISTORY WILL BE MADE ALL LOVE TO THE REAL THE FAKE THE RUMOR BELIEVER’S THE SOCIAL NETWORKING NON FACT CHECKING ASS HOLES YOU KNOW WHAT IT IS !! LET’S GO !!! #alleyezonme#tupac #2pac...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
FILAMU YA 30 DAYS IN ATLANTA YAFUNIKA NOLLYWOOD
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Maisha Plus kuanza kesho
9 years ago
Bongo531 Dec
Wakazi kuanza kuwa muongozaji wa filamu

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Wakazi ameweka wazi fani yake nyingine ya kuongoza filamu ambayo anatarajia kuifanyia kazi rasmi.
Wakazi ameiambia Bongo5 kuwa ubunifu wake umempatia ujuzi wa kufanya vitu vingi.
“Kwenye mambo ya filamu mimi ni mtu mbunifu na watu wote ambao ni wabunifu hawawezi kujilimit,” alisema.
“So far ni kitu ambacho nakipenda na tayari nimeshashirikishwa kwenye movie moja inaitwa Bongo na Fleva lakini haijatoka ila nataka wakati ujao niweze kukaa nyuma ya kamera na kuwa...
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Maisha Plus kuanza kuruka rasmi kesho
VIPINDI vya televisheni vya shindano la Maisha Plus vitaanza kuonyeshwa kesho katika televisheni ya taifa, TBC1. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mashindano hayo, Masoud Ali ‘Kipanya’,...
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Utambulisho wa filamu mpya: MAISHA NI SIASA!!

MAISHA NI SIASA is a political film that tells a story of sacrifice, patriotism, loyalty, heroism, challenges and the role that bloggers and social media activists play in postindependent African politics and ongoing democratisation process. Produced by 24Hrs Media, The 7thElement & Kileleni Production, Directed by Shahid Ansari, the movie is casted by Paul Mashauri, Loue Kifanga, Bahati Chando, Violet Mushi, Godwin Gondwe, Carl Bosser, Hudson Kamoga Zenno kahumba and others.
Maisha...
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Filamu yasimulia maisha mitaa duni Kenya
10 years ago
Bongo Movies18 Apr
JB Kushirikiana na Wanachuo wa DUCE Kwenye Filamu ya ‘Maisha ya Chuo’
Kupitia ukurasa wake mtandaoni staa wa Bongo Movies,Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa mwezi wa tisa mwaka huu atashirikiana na wanachuo kwenye kutengeneza filamu yake itakayoitwa Maisha ya Chuo.
“Leo nilikuwa na kikao na wanachuo cha Dar-es-salaam University college of Education (DUCE) nitashirikiana nao katika kutengeneza movie iitwayo maisha ya chuo mwezi wa tisa , hapa ni baada ya kumaliza kikao”- JB aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Kila la kheri JB,wadau wanategemea...