Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filamu ya maisha ya Tupac kuanza kutengenezwa Atlanta

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Filamu itakayoongelea maisha ya Tupac, All Eyez On Me imeanza kufanyika jijini Atlanta, Marekani kwa mujibu wa mtayarishaji, L.T. Hutton.

tupac_shakur_1996_death_row_interscope_records_photofest_WEB-630x416

Aliandika kwenye Instagram:

IT’S BEEN A LONG JOURNEY BLOOD SWEAT AND TEARS ALL THE LIES. LL THE BULLSHIT HARD WORK HAS PAID OFF !! WE START SHOOTING IN A FEW HOURS !!!!! HISTORY WILL BE MADE ALL LOVE TO THE REAL THE FAKE THE RUMOR BELIEVER’S THE SOCIAL NETWORKING NON FACT CHECKING ASS HOLES YOU KNOW WHAT IT IS !! LET’S GO !!! #alleyezonme#tupac #2pac...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FILAMU YA 30 DAYS IN ATLANTA YAFUNIKA NOLLYWOOD

FILAMU 30 Days in Atlanta ambayo ndani yake staa ni AY wa Nigeria imepanda katika soko la filamu nchini Nigeria ambapo mauzo yake yamepanda kutoka Naira milioni 76 mpaka kufikia Naira Milioni 132 na hivyo kuwa filamu iliyopanda kimauzo katika historia ya filamu za nchi hiyo. Filamu hiyo iliingiza Naira milioni 76 katika wiki saba za kwanza tangu ilipozinduliwa imeonekana kuwa chaguo la wengi. Filamu hiyo ilizinduliwa nchini...

 

11 years ago

Mwananchi

Maisha Plus kuanza kesho

Kipindi vya televisheni cha mashindano la Maisha Plus kitaanza kuonyeshwa kesho katika kituo cha televisheni cha TBC1.

 

9 years ago

Bongo5

Wakazi kuanza kuwa muongozaji wa filamu

Wakazi

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Wakazi ameweka wazi fani yake nyingine ya kuongoza filamu ambayo anatarajia kuifanyia kazi rasmi.

Wakazi

Wakazi ameiambia Bongo5 kuwa ubunifu wake umempatia ujuzi wa kufanya vitu vingi.

“Kwenye mambo ya filamu mimi ni mtu mbunifu na watu wote ambao ni wabunifu hawawezi kujilimit,” alisema.

“So far ni kitu ambacho nakipenda na tayari nimeshashirikishwa kwenye movie moja inaitwa Bongo na Fleva lakini haijatoka ila nataka wakati ujao niweze kukaa nyuma ya kamera na kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

introducing Filamu ya Maisha ni Siasa

www.maishanisiasa.co.tz

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maisha Plus kuanza kuruka rasmi kesho

VIPINDI vya televisheni vya shindano la Maisha Plus vitaanza kuonyeshwa kesho katika televisheni ya taifa, TBC1. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mashindano hayo, Masoud Ali ‘Kipanya’,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Utambulisho wa filamu mpya: MAISHA NI SIASA!!



MAISHA NI SIASA is a political film that tells a story of sacrifice, patriotism, loyalty, heroism, challenges and the role that bloggers and social media activists play in post­independent African politics and ongoing democratisation process.  Produced by 24Hrs Media, The 7th­Element & Kileleni Production, Directed by Shahid Ansari, the movie is casted by Paul Mashauri, Loue Kifanga, Bahati Chando, Violet Mushi, Godwin Gondwe, Carl Bosser, Hudson Kamoga Zenno kahumba and others.

Maisha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Filamu yasimulia maisha mitaa duni Kenya

Kundi la vijana nchini Kenya wametayarisha filamu inayosimulia maisha katika mitaa ya mabanda wakitumia simu za mkononi.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Kushirikiana na Wanachuo wa DUCE Kwenye Filamu ya ‘Maisha ya Chuo’

Kupitia ukurasa wake mtandaoni staa wa Bongo Movies,Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa mwezi wa tisa mwaka huu atashirikiana na wanachuo kwenye kutengeneza filamu yake itakayoitwa Maisha ya Chuo.

“Leo nilikuwa na kikao na wanachuo cha Dar-es-salaam University college of Education (DUCE) nitashirikiana nao katika kutengeneza movie iitwayo maisha ya chuo mwezi wa tisa , hapa ni baada ya kumaliza kikao”- JB aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

Kila la kheri JB,wadau wanategemea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani