JB Kushirikiana na Wanachuo wa DUCE Kwenye Filamu ya ‘Maisha ya Chuo’
Kupitia ukurasa wake mtandaoni staa wa Bongo Movies,Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa mwezi wa tisa mwaka huu atashirikiana na wanachuo kwenye kutengeneza filamu yake itakayoitwa Maisha ya Chuo.
“Leo nilikuwa na kikao na wanachuo cha Dar-es-salaam University college of Education (DUCE) nitashirikiana nao katika kutengeneza movie iitwayo maisha ya chuo mwezi wa tisa , hapa ni baada ya kumaliza kikao”- JB aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Kila la kheri JB,wadau wanategemea...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE
10 years ago
Dewji Blog18 May
Maisha Lab kuendesha warsha ya Uandishi wa filamu kwenye tamasha la ZIFF mwaka huu
NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG
Tayari Maisha Lab ya Uganda wametangaza kupokea maombi ya wanaotaka kushiriki katika warsha maalum ya uandishi wa filamu itakayofanyika visiwani Zanzibar wakati wa tamasha la Filamu za Nchi za Majahazi maarufu kama ZIFF, kuanzia tarehe 18 hadi 25.
Hata hivyo, maombi toka kwa wanaotaka kushiriki katika warsha hii yameanza kupokewa na mwisho wa maombi ni tarehe 13 Juni, mwaka huu.
Warsha za Maisha Lab zimekuza vipaji vya waandishi wa filamu na wakurugenzi wa...
10 years ago
MichuziMDAU DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Madaktari wa Marekani wawafunda wanachuo wa Chuo Afya Zanzibar
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar Ndg. Adila Hilal Vuai, akiutambulisha Ujumbe wa Madaktari Diaspora kutoka Washington walioletwa na Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Washington wakali walipofika katika Chuo cha Elimu ya Afya Zanzibar walipofika hapo kutowa Elimu ya Afya ya Saratani ya Matiti na Mano, wakiwa Zanzibar kwa uwenyeji wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).
Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washinton Ndg....
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/GlTwYSf9M2c/default.jpg)
10 years ago
GPLWANACHUO WAWILI WA CHUO CHA CBE DODOMA WAPATA GPA YA 4.9
10 years ago
MichuziWANACHUO WAWILI WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) DODOMA WAPATA GPA YA 4.9
Kwa kile ambacho kimeonekana ni tishio kwa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wanafunzi hawa kutoka kampasi ya Dodoma wameweza kupata ufaulu ...
11 years ago
Mwananchi10 May
Wanachuo 212 wa Chuo cha Polisi Moshi wafukuzwa kwa kughushi vyeti
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KTHCUaNJ0dkXtSVVVXvaX*9OKkFSuKBs2ieh8Vt5ZupX6ZiciyhQo4P6NLU6vkyHRzWRP03KS-vLKZceVyxlYJ/WANACHUOVIKINDU1.jpg?width=650)
WANACHUO WA CHUO CHA UALIMU VIKINDU WALAANI UTARATIBU MBOVU WA UGAWAJI CHAKULA