Picha: Kundi la Best Life Music (Burundi), lashoot video ya wimbo wake na muongozaji wa Rwanda baada ya Hanscana kuwa ‘busy’
Kundi la muziki la nchini Burundi liitwalo Best Life Music, limelazimika kufanya video na muongozaji wa video wa nchini Rwanda, Meddy baada ya Hanscana waliyemtaka awali afanye video hiyo kubanwa na majukumu mengine. Meneja wa kundi hilo Kent-P, ameiambia Bongo5 kuwa baada ya wimbo ‘Better Than’ kupata nafasi Tanzania na katika nchi za Ivory Coast, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies23 May
Neno la Shukrani Kutoka kwa Ray Baada ya Kuwa “Muongozaji Wa Filamu Anayependwa”
Nawashukuru Sana Watanzania Wote Kwa Kuniwezesha Kuwa Director Bora Mwaka 2015 En 2016. Pia Napenda Kuwapongeza Waandaji Wa (TUZO ZA WATU) Nyinyi Ni Mfano Wa Kuigwa Kwenye Hizi Tuzo Si Kwa Sababu Nimepata Noo Ila Nasema Ukweli Toka Moyoni Mwangu Usiku Wa Jana Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Hongereni. Pia Nilikuwa Najua Kuwa Wadau Msingeweza Kuniangusha Kwa Kuwa Mnajua Nilipo Itoa Tasnia Mungu Awabariki Sana.
By: Vicent Kigosi ‘Ray’ on Instagram
10 years ago
Bongo509 Oct
Picha: Fid Q na Young Killer waingia mtaani kushoot video ya ‘13’ muongozaji ni..
9 years ago
Bongo513 Nov
Hanscana aonesha mkwanja aliovuna kwa kuongoza video za muziki (Picha)
![12237498_1503919933268146_644522012_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237498_1503919933268146_644522012_n-300x194.jpg)
Mshindi wa tuzo za watu 2015 kwenye kipengele cha muongozaji wa video za muziki anayependwa, Hanscana ameonyesha sehemu ya pesa alizochuma hadi sasa kama ishara ya mafanikio katika kazi zake.
Hanscana ambaye kwa mwaka huu anadaiwa kuwa mwongozaji wa video aliyefanya kazi nyingi zilizopata mafanikio makubwa ndani na hata nje ya nchi, hivi karibuni alishare picha hiyo kwenye Instagram na kuandika: Umaskini TUMEZALIWA NAO utajiri TUTAKUFA NAO.
11 years ago
Bongo512 Aug
Picha/Audio: Utengenezaji wa video mpya ‘Mr. Oreo’ ya Iyanya, Marekani na sikiliza wimbo wake mpya ‘Story story’
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74095000/jpg/_74095499_74095400.jpg)
VIDEO: Rwanda: How life has changed
10 years ago
Bongo520 Oct
Picha: Missy Elliott auonesha mwonekano wake wa sasa baada ya mwili wake kupungua sanaaa!
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Mo Music amtamani KCEE katika wimbo wake mpya
NA AGNES MHAGAMA
BAADA ya wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva kufanya vizuri kimataifa kupitia ushirikiano na wasanii wa kimataifa, msanii anayefanya vizuri katika wa muziki huo, Moshi Katemi ‘Mo Music’ naye ana matarajio ya kushirikiana na msanii kutoka Nigeria, KCEE.
Mo Music, anayetamba na wimbo wa ‘Basi Nenda’ na ‘Ntazoea’, alisema ameshafanya mawasiliano na msanii huyo na mipango ikienda kama walivyopanga watakamilisha wimbo huo ndani ya mwaka huu.
“Nimemchagua KCEE kwa sababu...
10 years ago
Bongo501 Oct
Belle 9 auzungumzia wimbo wake mpya Vitamin Music
10 years ago
Bongo528 Feb
Picha: Director Hanscana aanza kuringishia matunda ya kazi yake, apost picha akiwa ametandaza milioni kadhaa