Muongozaji wa filamu wa Tanzania atajwa kuwania tuzo za Marekani
Muongozaji wa filamu wa Tanzania, Timoth Conrad ametajwa kuwania tuzo za Marekani, California Online Viewers Choice Awards. Pia filamu yake Dogo Masai imechaguliwa kuwania tuzo hizo zitakazofanyika jijini Los Angeles. “Nimechaguliwa kuwania tuzo ya BEST DIRECTOR na pia filamu ya Dogo Masai inawania BEST FEATURE FILM,” ameandika kwenye Facebook. “Ninaomba sapoti yenu katika kunipigia. Unaweza […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake
10 years ago
Bongo526 Aug
Diamond atajwa kuwania tuzo za IRAWMA, Marekani kupitia ‘Mdogo mdogo’, anachuana na Davido, Awilo Longomba na Bracket
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cut2CU9O4STaXeyJwo2LiF2HE-83nykb09whYCGDoomJkkgvhefdIdDA9NZL0MLfLed9sD3oNFJtb0DFo66dm1Y/STAA.jpg?width=650)
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA CHOAMVA 2014
9 years ago
Bongo512 Nov
Lollypop atajwa kuwania tuzo za Xtreem za Kenya
![Lolly](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Lolly-300x194.jpg)
Muimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki, Goodluck Gozbert maarufu kama Lollypop ametajwa kuwania tuzo za muziki wa injili za nchini Kenya, Xtreem Awards.
Xtreem ni tuzo kubwa nchini Kenya baada ya Groove Awards na zimeendeshwa kwa miaka miwili sasa.
Pamoja na kupata jina kwa uandishi wa nyimbo kama Basi Nenda ya Mo Music na Siachana Nawe na Nivumilie za Barakah Da Prince, Lollypop hufanya muziki wa injili kwa kutumia jina lake halisi Goodluck Gozbert.
Gozbert ametajwa kwenye...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pc6BPIjaF10/VCw9KlwsDRI/AAAAAAAAqSo/JzK-dJ913ik/s72-c/PLATINUM56.jpg)
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO NYINGINE NIGERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pc6BPIjaF10/VCw9KlwsDRI/AAAAAAAAqSo/JzK-dJ913ik/s640/PLATINUM56.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CAo4F8KRl5g/VCw9HEWDRJI/AAAAAAAAqSY/jYY1mtktsQc/s640/headies-2014.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HPvsEAtb8H4/VCw9HWzJZQI/AAAAAAAAqSc/4ZNzm7l1xIQ/s1600/headies.jpg)
10 years ago
Bongo509 Sep
Diamond atajwa kuwania tuzo za MTV Europe, #MTVEMA
10 years ago
Bongo504 Sep
Diamond atajwa kuwania vipengele 4 kwenye tuzo za CHOAMVA 2014
9 years ago
Bongo515 Dec
Yaya Toure atajwa tena kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika
![151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit-300x194.jpg)
Yaya Toure, ametajwa tena miongoni mwa wachezaji watatu bora kuwania taji la mwana soka bora mwaka huu na shirikisho la soka barani Afrika (CAF).
Tuzo hii huwajumuisha wachezaji wa Afrika wanaocheza soka ng’ambo.
Andre ‘Dede’ Ayew kutoka Ghana
Nyota huyo wa Manchester City kwa mara nyengine atakuwa akipigania taji hilo dhidi ya mshambulizi wa Black Stars ya Ghana na Swansea Andre ‘Dede’ Ayew na Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon na Borussia Dortmund.
Pierre Emerick Aubameyang kutoka...