Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lollypop atajwa kuwania tuzo za Xtreem za Kenya

Lolly

Muimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki, Goodluck Gozbert maarufu kama Lollypop ametajwa kuwania tuzo za muziki wa injili za nchini Kenya, Xtreem Awards.

27

Xtreem ni tuzo kubwa nchini Kenya baada ya Groove Awards na zimeendeshwa kwa miaka miwili sasa.

Pamoja na kupata jina kwa uandishi wa nyimbo kama Basi Nenda ya Mo Music na Siachana Nawe na Nivumilie za Barakah Da Prince, Lollypop hufanya muziki wa injili kwa kutumia jina lake halisi Goodluck Gozbert.

Gozbert ametajwa kwenye...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Lollipop ashinda tuzo ya ‘Wimbo wa Mwaka’ kwenye Xtreem Awards za Kenya

lolli

Muimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki, Goodluck Gozbert maarufu kama Lollipop ameanza kuonja mafanikio ya kipaji chake kwa kushinda tuzo ya kwanza, Xtreem Awards 2015 zilizotolewa Nairobi, Kenya Jumapili Dec.20.

lolli

Goodluck ameshinda kipengele cha ‘Tanzanian Artist/Song of the Year’ ambapo alikuwa akishindana na waimbaji wengine wa muziki wa injili wakiwemo Bonny Mwaitege, Edson Mwasabwite, Enock Jonas, Christopher Mwahangila na wengine.

Mtayarishaji huyo wa hit songs za Barakah...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO NYINGINE NIGERIA

Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo nyingine za kimataifa zinazofahamika kama ‘THE HEADIES 2014’, ambazo ni tuzo kubwa nchini Nigeria. Nasib Abdul ametajwa kuwania kipengele cha Msanii Bora wa Afrika (Best African Arstist) ambacho kinawaniwa na wasanii wa nje ya Nigeria. Katika kipengele hicho anashindana na Mafikizolo, Sarkodie na R2Bees.CREDIT:THECHOICE

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA CHOAMVA 2014

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platinumz'. Channel O wametangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za CHOAMVA mwaka huu. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platinumz' ametajwa kuwania vipengele vinne ambavyo ni MOST GIFTED VIDEO OF THE YEAR, MOST GIFTED NEWCOMER, MOST GIFTED AFRO POP na MOST GIFTED EAST. Tuzo hizo zitatolewa Jumamosi, tarehe 29 November, Nasrec Expo Centre mjini Soweto, Afrika Kusini....

 

10 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania tuzo za MTV Europe, #MTVEMA

Majina ya wasanii wa Afrika watakaowania tuzo za MTV Europe, MTVEMA yametangazwa na Diamond ni miongoni mwa wasanii watakaowania tuzo hizo zitakazotolewa November 9 jijini Glasgow, Scotland. Diamond atachuana na Davido, Toofan wa Togo na Goldfish wa Afrika Kusini. Kwa mara nyingine tena Davido anachuana na Diamond kwenye tuzo kubwa baada ya ile BET Awards […]

 

9 years ago

Bongo5

Muongozaji wa filamu wa Tanzania atajwa kuwania tuzo za Marekani

Muongozaji wa filamu wa Tanzania, Timoth Conrad ametajwa kuwania tuzo za Marekani, California Online Viewers Choice Awards. Pia filamu yake Dogo Masai imechaguliwa kuwania tuzo hizo zitakazofanyika jijini Los Angeles. “Nimechaguliwa kuwania tuzo ya BEST DIRECTOR na pia filamu ya Dogo Masai inawania BEST FEATURE FILM,” ameandika kwenye Facebook. “Ninaomba sapoti yenu katika kunipigia. Unaweza […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania vipengele 4 kwenye tuzo za CHOAMVA 2014

Channel O wametangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za CHOAMVA mwaka huu. Diamond ametajwa kuwania vipengele vinne ambavyo ni pamoja na MOST GIFTED VIDEO OF THE YEAR, MOST GIFTED NEWCOMER, MOST GIFTED AFRO POP na MOST GIFTED EAST. MOST GIFTED MALE CASSPER NYOVEST – DOC SHEBELEZA DAVIDO – AYE RIKY RICK FT OKMALUMKOOLKAT – AMANTOMBAZANE […]

 

9 years ago

Bongo5

Yaya Toure atajwa tena kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika

151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit

Yaya Toure, ametajwa tena miongoni mwa wachezaji watatu bora kuwania taji la mwana soka bora mwaka huu na shirikisho la soka barani Afrika (CAF).

151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit

Tuzo hii huwajumuisha wachezaji wa Afrika wanaocheza soka ng’ambo.

151114103628_andre_ayew_640x360_getty
Andre ‘Dede’ Ayew kutoka Ghana

Nyota huyo wa Manchester City kwa mara nyengine atakuwa akipigania taji hilo dhidi ya mshambulizi wa Black Stars ya Ghana na Swansea Andre ‘Dede’ Ayew na Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon na Borussia Dortmund.

24CC6CFA00000578-0-image-a-19_1421529621191
Pierre Emerick Aubameyang kutoka...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania tuzo zingine Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards’ (AELA)

Diamond Platnumz a.k.a Baba Tiffah yuko kwenye orodha ya waliotajwa kuwania tuzo zingine za nchini Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards (AELA)’. Platnumz ametajwa kuwania vipengele viwili, ‘African Legends Artist of The Year’ akichuana na Dbanj, P-Square, Faze, Reggie Rockstone, Asa, R2bees pamoja na 2face. Kipengele cha pili anachowania ni ‘Best collabolation’ kupitia wimbo wake […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani