Lollipop ashinda tuzo ya ‘Wimbo wa Mwaka’ kwenye Xtreem Awards za Kenya
Muimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki, Goodluck Gozbert maarufu kama Lollipop ameanza kuonja mafanikio ya kipaji chake kwa kushinda tuzo ya kwanza, Xtreem Awards 2015 zilizotolewa Nairobi, Kenya Jumapili Dec.20.
Goodluck ameshinda kipengele cha ‘Tanzanian Artist/Song of the Year’ ambapo alikuwa akishindana na waimbaji wengine wa muziki wa injili wakiwemo Bonny Mwaitege, Edson Mwasabwite, Enock Jonas, Christopher Mwahangila na wengine.
Mtayarishaji huyo wa hit songs za Barakah...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo514 Jan
Lady Jaydee ashinda ya tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka Afrika Mashariki, ‘Yahaya’ kwenye Bingwa Music Awards -Kenya
9 years ago
Bongo512 Nov
Lollypop atajwa kuwania tuzo za Xtreem za Kenya
![Lolly](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Lolly-300x194.jpg)
Muimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa muziki, Goodluck Gozbert maarufu kama Lollypop ametajwa kuwania tuzo za muziki wa injili za nchini Kenya, Xtreem Awards.
Xtreem ni tuzo kubwa nchini Kenya baada ya Groove Awards na zimeendeshwa kwa miaka miwili sasa.
Pamoja na kupata jina kwa uandishi wa nyimbo kama Basi Nenda ya Mo Music na Siachana Nawe na Nivumilie za Barakah Da Prince, Lollypop hufanya muziki wa injili kwa kutumia jina lake halisi Goodluck Gozbert.
Gozbert ametajwa kwenye...
10 years ago
Bongo508 Dec
Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DclNr69IFO*rIKF984nNAfd-NGx6fXT6Ii3Mg*zSCrB54ejK8lJUa8s1EWKsz-DTMMRNGfgIJypI-f7Ewb-UOUH/JAYDEE620x360.jpg)
LADY JAYDEE ASHINDA YA TUZO YA WIMBO BORA WA MWAKA
9 years ago
Bongo507 Sep
Eddie Kenzo ashinda ‘African Artist of The Year’ aliyokuwa akiwania na Diamond katika tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (NEA)
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Olunga wa Gor Mahia ashinda tuzo kuu Kenya
11 years ago
Michuzi03 Mar
Lupita Nyong'o kutoka kenya ashinda tuzo ya oscar ya muigizaji msaidizi bora wa kike
9 years ago
Bongo526 Oct
Diamond ashinda tuzo ya ‘Worldwide Act Africa/India’ kwenye MTV EMA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eO5Kll23l14/U89pfS9F6DI/AAAAAAAF5Cs/TqmgjZo2Yu0/s72-c/unnamed+(8).jpg)
MPIGIE KURA GAZUKO KWENYE TUZO ZA AFRICA GOSPEL MUSIC AWARDS
![](http://3.bp.blogspot.com/-eO5Kll23l14/U89pfS9F6DI/AAAAAAAF5Cs/TqmgjZo2Yu0/s1600/unnamed+(8).jpg)