Eddie Kenzo ashinda ‘African Artist of The Year’ aliyokuwa akiwania na Diamond katika tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (NEA)
Tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) zimetolewa usiku wa Sept .6 huko New York nchini Marekani, lakini safari hii bahati ya ushindi haikuwa kwa msanii wa Tanzania aliyekuwa akituwakilisha katika tuzo hizo. Msanii wa Uganda, Eddie Kenzo ndiye aliyeibuka mshindi wa kipengele cha ‘African Artist of The Year’ ambacho kilikuwa ni maalum kwa wasanii […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Sep
Diamond atajwa kuwania tuzo zingine Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards’ (AELA)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*847-JOg-2UDNG-0wHBUi7HBS2YnoDg8K6B3UoHNnvxSnSJ6rp25IxW4YvptAmwvG82susc5jD-if11fsyzd8dKXu/10985052_855964467785728_8284829864472226266_n.jpg?width=650)
DIAMOND PLATINUMZ ATAJWA KUWANIA NEA AWARDS 2015 NCHINI NIGERIA
9 years ago
Bongo508 Sep
Washindi wa tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (Orodha kamili)
10 years ago
Bongo508 Dec
Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’
9 years ago
Bongo511 Nov
Kundi la Navy Kenzo lachaguliwa kuwania tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria
Kundi la Navy Kenzo limechaguliwa kuwania kipengele cha Kundi Bora La Muziki katika tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria.
Makundi mengine ya Nigeria ambao yanawania kipengele kimoja na Navy Kenzo ni Dupi 2, Connect Music Group (Cmg), Ace Republic, Dp-Kings na Betrose.
Kura zimeanza kupigwa November 8, 2015 na zitafungwa December 31, 2015. Washindi wa tuzo hizo watatangazwa January 2, 2016 na sherehe ya utolewaji wa tuzo itafanyika January 26, 2016 jijini Lagos, Nigeria.
Navy...
9 years ago
Bongo505 Sep
Diamond ampiga mweleka Wizkid kwenye tuzo za ‘Uganda Entertainment Awards’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YGRK3QDGhjA7guHNbSLs-CMB5SOWHSekUIdEJzeio6dFDCGFFHOi1f8sOAZdCdrDMc7Ti2fYC2t0i14DQjmzqbdydjFmsa-x/diamond.jpg)
DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS ZA NCHINI MAREKANI
10 years ago
Bongo528 Feb
Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Xig0b5pXC04/VKPMRsah-II/AAAAAAAAS0g/Vj7sARa6dXQ/s72-c/FullSizeRender.jpg)
DIAMOND ASHINDA TUZO YA BEST AFRICAN ENTERTAINER ..NIYA 14 NDANI YA MWAKA 2014 PEKEE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xig0b5pXC04/VKPMRsah-II/AAAAAAAAS0g/Vj7sARa6dXQ/s1600/FullSizeRender.jpg)