Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eddie Kenzo ashinda ‘African Artist of The Year’ aliyokuwa akiwania na Diamond katika tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (NEA)

Tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) zimetolewa usiku wa Sept .6 huko New York nchini Marekani, lakini safari hii bahati ya ushindi haikuwa kwa msanii wa Tanzania aliyekuwa akituwakilisha katika tuzo hizo. Msanii wa Uganda, Eddie Kenzo ndiye aliyeibuka mshindi wa kipengele cha ‘African Artist of The Year’ ambacho kilikuwa ni maalum kwa wasanii […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania tuzo zingine Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards’ (AELA)

Diamond Platnumz a.k.a Baba Tiffah yuko kwenye orodha ya waliotajwa kuwania tuzo zingine za nchini Nigeria, ‘The African Entertainment Legend Awards (AELA)’. Platnumz ametajwa kuwania vipengele viwili, ‘African Legends Artist of The Year’ akichuana na Dbanj, P-Square, Faze, Reggie Rockstone, Asa, R2bees pamoja na 2face. Kipengele cha pili anachowania ni ‘Best collabolation’ kupitia wimbo wake […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATINUMZ ATAJWA KUWANIA NEA AWARDS 2015 NCHINI NIGERIA

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond'. AFRICAN ARTIST:
Eddie kenzo
Sauti Sol
Diamond Platnumz
Sarkodie
Stonebwoy
AKA
Mzvee HOTTEST SINGLE:
Kiss Daniel – Woju
Lil Kesh – Shoki Remix Ft Olamide & Davido
Mavins – Dorobucci
Wizkid – Ojuelegba
Skales – Shake Body

BEST NEW ACT:
Kiss Daniel
Lil Kesh
Di’ja
CDQ
Ayo Jay
Falz
Korede… ...

 

9 years ago

Bongo5

Washindi wa tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (Orodha kamili)

Orodha kamili ya washindi wa tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) zilizotolewa Sept 6 New York, Marekani tayari imetolewa. Katika tuzo hizo msanii wa Uganda, Eddy Kenzo ndiye ameshinda kipengele cha ‘African Artist of The Year’ cha wasanii wasiotoka Nigeria ambacho Diamond pia alikuwa nominee. Hii ni orodha kamili ya washindi. Album of the […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’

Diamond Platnumz ameongeza idadi ya tuzo za kimataifa alizopata mwaka huu 2014 baada ya kushinda tuzo nyingine ya ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) zilizotolewa huko Lagos, Nigeria Dec.7 Kupitia Instagram mwimbaji huyo wa single mpya ‘Ntampata wapi’ ameshare picha ya tuzo na kuandika: “Thanks God, we have Cheated another one on The Future Awards Africa […]

 

9 years ago

Bongo5

Kundi la Navy Kenzo lachaguliwa kuwania tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria

Kundi la Navy Kenzo limechaguliwa kuwania kipengele cha Kundi Bora La Muziki katika tuzo za ‘Top Naija Music Awards 2015’ za Nigeria.

Navy Kenzo Naija Awards

Makundi mengine ya Nigeria ambao yanawania kipengele kimoja na Navy Kenzo ni Dupi 2, Connect Music Group (Cmg), Ace Republic, Dp-Kings na Betrose.

Kura zimeanza kupigwa November 8, 2015 na zitafungwa December 31, 2015. Washindi wa tuzo hizo watatangazwa January 2, 2016 na sherehe ya utolewaji wa tuzo itafanyika January 26, 2016 jijini Lagos, Nigeria.

Navy...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond ampiga mweleka Wizkid kwenye tuzo za ‘Uganda Entertainment Awards’

Diamond Platnumz ameibuka mshindi wa kipengele cha ‘Best African Act Of The Year’ Katika tuzo za Uganda Eentertainment Awards 2015 (UEA), zilizotolewa Ijumaa ya Septemba 5 jijini Kampala, Uganda. Platnumz amewashinda mastaa wa Nigeria akiwemo Wizkid, Patoranking pamoja na Tiwa Savage ambao alikuwa akishindana nao kwenye kipengele hicho. Kupitia mitandao ya kijamii Diamond amewashukuru mashabiki […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, VANESSA MDEE WATAJWA AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS ZA NCHINI MAREKANI

Ni neema nyingine kwa Diamond na Vanessa Mdee baada ya kutajwa  kuwania tuzo za MTV MAMA za nchini Africa Kusini zinazotarajiwa kufanyika leo usiku huko Durban, Afrika Kusini, hivi karibuni  wasanii wametajwa tena kuwania tuzo zinazojulikana kama African Entertainment Awards (AEA) za nchini Marekani. Kwenye tuzo hizo za  African Entertainment, Diamond Platnumz ametajwa katika vipengele  viwili ikiwa ni kipengele cha...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards

Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za 16 za Vodafone Ghana Music (Awards), VGMA 2015. Majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo yametajwa kwenye hoteli ya La Palm Royal Beach Hotel jijini Accra, jana Ijumaa, February 27. Diamond ametajwa kuwania kipengele cha msanii bora wa Afrika (African Artiste of The Year). Wasanii wengine watakaowania kipengele hicho ni […]

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND ASHINDA TUZO YA BEST AFRICAN ENTERTAINER ..NIYA 14 NDANI YA MWAKA 2014 PEKEE

Promoter  " DMK " Baada ya kuipokea Tuzo Hiyo ya IRAWMA kwa niaba ya  DIAMOND  PLATNUMZ


Diamond hakuweza kufika kwenye tuzo hizo zilizofanyikia Florida kwa mwaka huu kutokana na tarehe kugongana na shughuli zake za kazi.Diamond ameweza kujishindia tuzo 14 mwaka huu pekee ikiwa ni pamoja na Tuzo 7 za Kilimanjaro Award na 7 za kimataifa.Bwana "DMK" amepokea Tuzo hiyo  kwa niaba ya Msanii Diamond na kwasasa Tuzo hiyo iko Njiani Kuelekea Tanzania.Mungu azidi kumjalia afya Njema Mwanamuziki huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani