DIAMOND ASHINDA TUZO YA BEST AFRICAN ENTERTAINER ..NIYA 14 NDANI YA MWAKA 2014 PEKEE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xig0b5pXC04/VKPMRsah-II/AAAAAAAAS0g/Vj7sARa6dXQ/s72-c/FullSizeRender.jpg)
Promoter " DMK " Baada ya kuipokea Tuzo Hiyo ya IRAWMA kwa niaba ya DIAMOND PLATNUMZ
Diamond hakuweza kufika kwenye tuzo hizo zilizofanyikia Florida kwa mwaka huu kutokana na tarehe kugongana na shughuli zake za kazi.Diamond ameweza kujishindia tuzo 14 mwaka huu pekee ikiwa ni pamoja na Tuzo 7 za Kilimanjaro Award na 7 za kimataifa.Bwana "DMK" amepokea Tuzo hiyo kwa niaba ya Msanii Diamond na kwasasa Tuzo hiyo iko Njiani Kuelekea Tanzania.Mungu azidi kumjalia afya Njema Mwanamuziki huyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Oct
Best African Entertainer: Diamond ambwaga Davido kwenye tuzo za IRAWMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZO31rwxMJHwLx0UqwIS6yXpp-EDvFV3r6M43SEsO94JM2bLhyrip-V2sUNzoyRLk-K7GpQnXEXC2ZNEKPFFv8W/bbc.jpg?width=650)
BRAHIMI ASHINDA TUZO YA BBC YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2014 AFRIKA
9 years ago
Bongo507 Sep
Eddie Kenzo ashinda ‘African Artist of The Year’ aliyokuwa akiwania na Diamond katika tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (NEA)
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Merkel ashinda tuzo ya Time ya mwaka 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DclNr69IFO*rIKF984nNAfd-NGx6fXT6Ii3Mg*zSCrB54ejK8lJUa8s1EWKsz-DTMMRNGfgIJypI-f7Ewb-UOUH/JAYDEE620x360.jpg)
LADY JAYDEE ASHINDA YA TUZO YA WIMBO BORA WA MWAKA
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Pohamba:ashinda tuzo ya 2014 ya Mo Ibrahim
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-5JyIr5680AowG*f52hX4d4xiFN4DoXp462sQ-2z5VmfRBUvJ-RJmBS7XQbfUv6D7xNzFGTH3QSQRoRq1yUbmCY/DAVIDO.png)
TUZO ZA BET 2014: DAVIDO ATWAA TUZO YA BEST AFRICAN ACT
9 years ago
Bongo506 Jan
Rooney ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mwaka 2015 Uingereza
![150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters-300x194.jpg)
Mchezaji wa Manchester Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 nchini Uingereza akitetea tena tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.
Hii ni mara ya 4 Rooney kushinda tuzo hii ambayo hupigiwa kura na wanachama wa Chama cha Mashabiki wa Soka England.
Mwezi Desemba Shirikisho la Soka la England liliyaweka hadharani majina ya wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka nchini humo.
Mwaka wa 2015 Rooney alii isaidia England kufuzu kuingia fainali za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016,...