Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waathirika Bulembo walalamikia misaada kufungiwa

WANANCHI ambao nyumba zao zimeanguka, kuezuliwa na mazao yao kuharibiwa na mvua iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali, wameulalamikia uongozi wa Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Wilaya ya Muleba, Kagera...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

misaada kupelekwa kwa waathirika wa Homs

Mashirika ya misaada yanuwia kupeleka misaada ya chakula na dawa kwa waathiriwa wa mapigano mjini Homs

 

10 years ago

Habarileo

Pinda aahidi misaada waathirika wa mvua

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAKATI Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili mjini hapa kwa ajili ya kujionea maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa ya mawe katika kijiji cha Mwakata kata ya Isaka wilaya ya Kahama, idadi ya watu waliokufa imeongezeka na kufikia 42 na idadi ya majeruhi ni 98.

 

11 years ago

Habarileo

Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi

SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.

 

11 years ago

Habarileo

Walemavu wa ukoma walalamikia kupewa misaada wakichangishwa

KAYA zaidi ya 70 zenye watu 300 wanaoishi na ugonjwa wa ukoma katika kituo cha Msamaria kilichopo Hombolo Bwawani Manispaa ya Dodoma wamelalamikia baadhi ya wahisani kuwachangisha fedha pindi wanapoletewa misaada. Walitoa kauli hiyo juzi wakati wakipopokea tani moja na nusu za mahindi iliyotolewa bure na Mratibu Mkuu wa Kituo hicho, John Ntandu kwa ajili ya familia hizo .

 

9 years ago

Habarileo

Bulembo aonya udini na ukabila

MWENYEKITI wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Abdallah Bulembo, ameonya juu ya siasa za udini na ukabila kwenye kampeni na kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua hatua dhidi ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali imetelekeza wanakijiji Bulembo?

ZIMEPITA siku 16 tangu Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera kilipopigwa na kimbunga kikali. Serikali imeshindwa kutoa msaada unaotosha kunusuru uhai wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Bulembo amvaa Edward Lowassa

abdallah-bulembo8Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

MWENYEKITI Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amemtaka aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowasa, kuwataja hadharani wafanyabiashara waliokuwa wanasaidia Ukawa kutozwa kodi kubwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Bulembo alisema kauli ya Lowassa inalengo la kuigombanisha Serikali na wafanyabiashara, hivyo ni vyema akawataja hadharani ili kuondoa utata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kimbunga Mugasha na ahadi za kisiasa Bulembo

“MUGASHA” ni jina ambalo kiutamaduni Wahaya waliupatia upepo mkali, dhoruba au kimbunga, unaotokea na kusababisha maafa kwa wakazi wa eneo unalolikumba. Ni upepo unaoangusha migomba, kuezua nyumba na nyingine kuziangusha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani