Walemavu wa ukoma walalamikia kupewa misaada wakichangishwa
KAYA zaidi ya 70 zenye watu 300 wanaoishi na ugonjwa wa ukoma katika kituo cha Msamaria kilichopo Hombolo Bwawani Manispaa ya Dodoma wamelalamikia baadhi ya wahisani kuwachangisha fedha pindi wanapoletewa misaada. Walitoa kauli hiyo juzi wakati wakipopokea tani moja na nusu za mahindi iliyotolewa bure na Mratibu Mkuu wa Kituo hicho, John Ntandu kwa ajili ya familia hizo .
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Walemavu wa ukoma Tanga waomba msaada
KAMBI ya wazee wenye ulemavu wa ukoma iliyopo Msufini Kata ya Ngomeni wilayani hapa, Mkoa wa Tanga inakabiliwa na changamoto ya uchakavu wa vitanda hali inayosababisha kulala chini. Wakizungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Walemavu walalamikia Operesheni Safisha Jiji
KIONGOZI wa Taasisi ya Haki za Binadamu Maendeleo ya Kiuchumi ya Walemavu (HREDP), Abubakar Rakesh, ameilalamikia Operesheni Safisha Jiji inayoendelea kwa kuwaondoa walemavu bila kuwapangia sehemu maalumu ya kwenda kufanyia...
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Waathirika Bulembo walalamikia misaada kufungiwa
WANANCHI ambao nyumba zao zimeanguka, kuezuliwa na mazao yao kuharibiwa na mvua iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali, wameulalamikia uongozi wa Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Wilaya ya Muleba, Kagera...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeBvhpvmXxeT*79IVxS5HF6hIUcQhD7rwImstdNZ6zZdg8vPRVg8avvTJJ3khNqFbe7p-9OVcx2Nj29lkVPhdq1K/1.jpg?width=650)
FARIDA FOUNDATION WAMWAGA MISAADA KWA WATOTO WALEMAVU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oLjFbI3cRxw/XnCVbhUna6I/AAAAAAAAQfU/rH46C2qEQ3oO4k_0CpKiTECvB21fApc7QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
Waziri Kairuki Atoa Misaada Vituo vya Watoto Yatima na Walemavu Same
![](https://1.bp.blogspot.com/-oLjFbI3cRxw/XnCVbhUna6I/AAAAAAAAQfU/rH46C2qEQ3oO4k_0CpKiTECvB21fApc7QCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angela Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu akikabidhi baadhi ya misaada katika kituo cha kulelea watoto yatima kama picha inavyoonekana
![](https://1.bp.blogspot.com/-SBK2L1g3j5Y/XnCVa0l1HYI/AAAAAAAAQfM/RvGMbuNAr_8D44Ce6W8uTgoLm7zvBB9PQCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angela Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na watoto wenye ulemavu
![](https://1.bp.blogspot.com/-W7_G0_9Pnvw/XnCVbgcXxLI/AAAAAAAAQfQ/yx0BiZeLKRkfCFS9qOAKZEQOcg9me8oCACLcBGAsYHQ/s640/3.png)
Waziri Angela Kairuki akikabidhi vifaa mbalimbali kwa watoto pamoja pampers na sabuni pamoja na vyakula katika...
11 years ago
MichuziFARIDA FOUNDATION YATOA MISAADA HOSPITALI YA PALESTINA SINZA NA KWA WALEMAVU ENEO LA UBUNGO DARAJANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGpSjRawy16xZhKQZ4dRHkuPJegC3bfb7VwiZehHprWhkWl5cHHKKUAT1J55yupOgQTZIRarnUSdYMWQgz8YWng/wheelchair2.jpg?width=650)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
10 years ago
MichuziKILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Ukoma nchini bado tishio
TANZANIA imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi 17 duniani ambazo zipo katika viwango vya juu vya wagonjwa wa ukoma. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alitoa...