Walemavu walalamikia Operesheni Safisha Jiji
KIONGOZI wa Taasisi ya Haki za Binadamu Maendeleo ya Kiuchumi ya Walemavu (HREDP), Abubakar Rakesh, ameilalamikia Operesheni Safisha Jiji inayoendelea kwa kuwaondoa walemavu bila kuwapangia sehemu maalumu ya kwenda kufanyia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Operesheni Safisha Jiji yalalamikiwa
WIKI moja baada ya Operesheni Safisha Jiji, baadhi ya wakazi wameomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq kuingilia kati, kuzuia uvunjifu wa sheria wa kubomolewa baadhi...
11 years ago
Mwananchi03 May
Operesheni Safisha Jiji yaibua madudu
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Operesheni safisha jiji yawageukia ombaomba
OPERESHENI ya kusafisha jiji ili kuwaondoa wafanyabiashara wadogo (wamachinga) kwenye maeneo yasiyo rasmi, imewageukia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na ombaomba. Operesheni hiyo inaendeshwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ilala,...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Operesheni Safisha Jiji mbona inabomoa nyumba za watu?
OPERESHENI Safisha Jiji ilianza kwa kuungwa mkono na wakazi wa jijini Dar es Salaam lakini kadiri siku zinavyosonga mbele imeanza kuingia dosari na kufananishwa na ile ya Tokomeza Ujangili. Dosari...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Operesheni Safisha Jiji Arusha shubiri kwa mafundi nguo
OPERESHENI Safisha Jiji ya kuwaondoa machinga wanaouza bidhaa zao barabarani ilianza mwaka 2012 kama ilivyokubalika kwenye Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha. Licha ya mwaka jana operesheni hiyo kufanikiwa, mwaka...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Safisha Jiji yaathiri Hospitali ya Regency
MWENYEKITI wa Hospitali ya Regency, Dar es Salaam, Dk. Rajni Kanabar, amesikitishwa na kitendo cha wafanyakazi wa Manispaa ya Ilala kuharibu miundombinu ya umeme na internet katika tawi la hospitali...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Safisha jiji yawakera madiwani Arusha
BAADHI ya madiwani wa Jiji la Arusha, wameeleza kukerwa na zoezi la safisha safisha jiji hilo zilivyoendeshwa kwa misingi ya kukiuka haki za binadamu. Madiwani hao wametaka zoezi hilo lifanyike...