Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Syria ilitumia Chlorine dhidi ya wakazi

Gesi ya Chlorine ilitumika kuwashambulia watu Kaskazini mwa Syria mwaka huu, kwa mujibu wa shirika la (OPCW)

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Gesi ya chlorine yatumika Syria

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linasema kuwa gesi ya chlorine ilitumika kwenye shambulizi mwezi uliopita nchini Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakazi wa Homs Syria wapata afueni

Mwandishi wa BBC katika mji uliozungukwa Homs nchni Syria anasema magari mawili yaliobeba chakula yamefika katika mji huo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron aonywa dhidi ya kuishambulia Syria

Kamati ya bunge inayohusika na mashauri ya nchi za kigeni imesema kuwa inapinga hatua zozote za kijeshi huko Syria kutoka Uingereza

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi,China zapinga hatua dhidi ya Syria

Uchina na Urusi zimepiga kura ya turufu, kuzuia jaribio la baraza la usalama, la kutaka kuifikisha Syria katika mahakama ya ICC

 

10 years ago

GPL

NDEGE ZA MUUNGANO ZA KIVITA DHIDI YA DAESH ZAUA 66 SYRIA

Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria zimefanya mashambulio katika maeneo kadhaa na kuua raia 66 wa nchi hiyo. Harakati ya Kutetea Haki za Binadamu iliyoko nchini Uingereza inayoitwa Syrian Observatory for Human Rights 'SOHM' imeeleza kuwa, raia 66 wa Syria wakiwemo watoto 10 na wanawake 6 wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na ndege za kivita za muungano...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Mashambulio dhidi ya Idlib yalenga shule na hospitali'

Makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema kuwa takriban raia 20 Idlib, miongoni mwao watoto tisa

 

10 years ago

BBCSwahili

Wito kwa wakazi kujihami dhidi ya Boko:H

Emir wa Kaskazini mwa Nigeria,Muhammad Sanusi, ametoa wito kwa wakazi kujihami dhidi ya kundi la wanamgambo wa kiisilamu wa Boko Haram

 

9 years ago

StarTV

Vita Dhidi Ya Kipindupindu  Watumishi, wakazi wa Bukoba wafanya usafi

 

Kauli ya Rais John Magufuli ya kufanya usafi na kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu imeanza kuungwa mkono na watumishi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera ambao wameungana na wakazi wa manispaa hiyo kufanya usafi na kusimamia zoezi hilo.

Kitendo cha watumishi hao kinakwenda sambamba na kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu ambao hadi sasa umekwishapoteza maisha ya watu wawili katika manispaa hiyo.

Moja ya maeneo ya biashara ambayo yameamuriwa kufungwa ,kutokana na eneo hilo kukithiri kwa...

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AAPA KUWALINDA WAKAZI WA DAR ES SALAAM DHIDI YA CORONA


*Aruhusu bodaboda kuingia katikati ya Mji
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda  amesema ataendelea kuchukua hatua za kila namna katika kuhakikisha anawalinda wakazi wa Dar es Salaam dhidi ya mlipuko wa virusi vya Corona na hiyo ni pamoja na  kupuliza madawa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza na wananchi katika kituo cha mabasi cha Makumbusho leo jijini Dar es Salaam Makonda amesema kuwa upuliziaji wa madawa katika maeneo mbalimbali unaendeleaje na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani