Syria ilitumia Chlorine dhidi ya wakazi
Gesi ya Chlorine ilitumika kuwashambulia watu Kaskazini mwa Syria mwaka huu, kwa mujibu wa shirika la (OPCW)
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Gesi ya chlorine yatumika Syria
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Wakazi wa Homs Syria wapata afueni
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Cameron aonywa dhidi ya kuishambulia Syria
11 years ago
BBCSwahili23 May
Urusi,China zapinga hatua dhidi ya Syria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuEzvavmqzMTrvfLUPH9nbSc8Twz3W4JB4dqFRl7LD*YH1M3zjYhzYaTxPLCM9*bnvXgjREckKkPwF4RXqmzB9q/usarmyaircraftmo328.jpg?width=650)
NDEGE ZA MUUNGANO ZA KIVITA DHIDI YA DAESH ZAUA 66 SYRIA
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Vita vya Syria: Mashambulio dhidi ya Idlib yalenga shule na hospitali'
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Wito kwa wakazi kujihami dhidi ya Boko:H
9 years ago
StarTV27 Nov
Vita Dhidi Ya Kipindupindu  Watumishi, wakazi wa Bukoba wafanya usafi
Kauli ya Rais John Magufuli ya kufanya usafi na kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu imeanza kuungwa mkono na watumishi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera ambao wameungana na wakazi wa manispaa hiyo kufanya usafi na kusimamia zoezi hilo.
Kitendo cha watumishi hao kinakwenda sambamba na kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu ambao hadi sasa umekwishapoteza maisha ya watu wawili katika manispaa hiyo.
Moja ya maeneo ya biashara ambayo yameamuriwa kufungwa ,kutokana na eneo hilo kukithiri kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hkfoaJlwRpE/XoRkIRb4VEI/AAAAAAALlvM/FZwe1lhRPVwwyEsCnHOmKTK2PiV0ssJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
RC MAKONDA AAPA KUWALINDA WAKAZI WA DAR ES SALAAM DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hkfoaJlwRpE/XoRkIRb4VEI/AAAAAAALlvM/FZwe1lhRPVwwyEsCnHOmKTK2PiV0ssJTgCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
*Aruhusu bodaboda kuingia katikati ya Mji
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema ataendelea kuchukua hatua za kila namna katika kuhakikisha anawalinda wakazi wa Dar es Salaam dhidi ya mlipuko wa virusi vya Corona na hiyo ni pamoja na kupuliza madawa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza na wananchi katika kituo cha mabasi cha Makumbusho leo jijini Dar es Salaam Makonda amesema kuwa upuliziaji wa madawa katika maeneo mbalimbali unaendeleaje na...