Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wito kwa wakazi kujihami dhidi ya Boko:H

Emir wa Kaskazini mwa Nigeria,Muhammad Sanusi, ametoa wito kwa wakazi kujihami dhidi ya kundi la wanamgambo wa kiisilamu wa Boko Haram

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAKAZI WA KIGOMA WAITIKIA WITO KUTOA DAMU SALAMA KWA HIYARI


Na Editha Karlo-Michuzi TV
MENEJA  wa mradi wa damu salama mkoa Kigoma, Habichi Maramba amesema kuwa kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wananchi wa mkoa Kigoma kujitokeza kutoa damu kwa hiari jambo ambalo linaondoa changamoto ya ukosefu wa damu mkoani humo.

Maramba alisema hayo wakati wa maadhimisho ya wiki ya damu salama mkoani Kigoma na kueleza kuwa  jambo hilo linaenda sambamba na uundwaji wa vikundi vya wachangia damu mkoani humo ambavyo vimesaidia kupatikana kwa damu ya kutosha.

Meneja huyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola

1

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana,  kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria kutumia ndege dhidi ya Boko.H

Polisi nchini Nigeria, wanasema kuwa inanunua ndege tatu za kufuatilia shughuli za kundi la wapiganaji wa kiisilam la Boko Haram.

 

11 years ago

BBCSwahili

Viongozi watangaza vita dhidi ya Boko: H

Viongozi wa Afrika wanaokutana mjini Paris Ufaransa wamekubaliana kutangaza vita dhidi ya kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria na mikakati dhidi ya Boko Haram

Serikali ya Nigeria na nchi nyengine nne majirani zimekubaliana kuunda jeshi la pamoja ili kupambana na wapiganaji wa Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad yafanikiwa dhidi ya Boko Haram

Jeshi nchini Chad linaendelea kufanya mashambulizi dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ushirikiano dhidi ya Boko Haram waanza

Viongozi wa mataifa ya Afrika Magharibi waliopo mjini Paris,wamekubaliana kuimarisha ushirikiano dhidi ya Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Syria ilitumia Chlorine dhidi ya wakazi

Gesi ya Chlorine ilitumika kuwashambulia watu Kaskazini mwa Syria mwaka huu, kwa mujibu wa shirika la (OPCW)

 

9 years ago

StarTV

Vita Dhidi Ya Kipindupindu  Watumishi, wakazi wa Bukoba wafanya usafi

 

Kauli ya Rais John Magufuli ya kufanya usafi na kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu imeanza kuungwa mkono na watumishi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera ambao wameungana na wakazi wa manispaa hiyo kufanya usafi na kusimamia zoezi hilo.

Kitendo cha watumishi hao kinakwenda sambamba na kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu ambao hadi sasa umekwishapoteza maisha ya watu wawili katika manispaa hiyo.

Moja ya maeneo ya biashara ambayo yameamuriwa kufungwa ,kutokana na eneo hilo kukithiri kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani