RC MAKONDA AAPA KUWALINDA WAKAZI WA DAR ES SALAAM DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hkfoaJlwRpE/XoRkIRb4VEI/AAAAAAALlvM/FZwe1lhRPVwwyEsCnHOmKTK2PiV0ssJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
*Aruhusu bodaboda kuingia katikati ya Mji
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema ataendelea kuchukua hatua za kila namna katika kuhakikisha anawalinda wakazi wa Dar es Salaam dhidi ya mlipuko wa virusi vya Corona na hiyo ni pamoja na kupuliza madawa katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza na wananchi katika kituo cha mabasi cha Makumbusho leo jijini Dar es Salaam Makonda amesema kuwa upuliziaji wa madawa katika maeneo mbalimbali unaendeleaje na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/YMtPI4SNIOc/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kpn-XL6JNEU/XpGlke-04wI/AAAAAAALmyM/oUdtQiWs2_ES5i0WGiwgBPzXIppmwuewwCLcBGAsYHQ/s72-c/DKT%2BMAT.jpg)
WAZAZI NA WALEZI WASHAURIWA KUWALINDA WATOTO WAO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
WAZAZi na walezi wameshauriwa kuwalinda watoto wao ili wasiweze kupata maambukizi ya ugonjwa wa covid -19 ambao unaweza kuhatarisha maisha yao.
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania (MAT), Dr Elisha Osati amesema kuwa, mzazi au mlezi ana jukumu la kumlinda mtoto wake ili asiweze kupata maambukizo hayo hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na ugonjwa huo.
"Watoto walio chini ya miaka 8, bado wadogo, wanahitaji msaada wa ulinzi na usalama kutoka kwa wazazi au...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lxXkLGJZ-2c/XsAnRnt3MMI/AAAAAAALqfI/UAyQtzsIWZ8e4jY580hdEsZvl3aFDRrtwCLcBGAsYHQ/s72-c/5bb50332-4927-4ead-9a73-381cbdc824d7.jpg)
KLABU YA SIMBA,MO DEWJI WAGAWA BARAKOA BURE KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUJIKINGA NA CORONA
Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Taasisi ya Mo Dewji wametoa msaada wa Barakoa kwa wananchi wa maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumza na waandish wa habari wakati wa tukio hilo, Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Simba Rispa Hatib amesema tukio hilo ni la siku tatu kuanzia leo Jumamosi na litahitimishwa siku ya Jumatatu.
Amesema, janga hili ni la Dunia na nchi nzima kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z-egHoIE3WI/Xp595q655nI/AAAAAAALnpg/E5VBg3zmscEIdJFuGGF8q1YeIdhbyj7AQCLcBGAsYHQ/s72-c/afya.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KUONGOZA MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-z-egHoIE3WI/Xp595q655nI/AAAAAAALnpg/E5VBg3zmscEIdJFuGGF8q1YeIdhbyj7AQCLcBGAsYHQ/s1600/afya.jpg)
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Viongozi wa madhehebu ya Dini nchini, imeandaa maombi maalum Kitaifa kuiombea Nchi dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu inayotokana na Virusi vya Corona.Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara, Maombi hayo yatakayoongozwa na Viongozi Wakuu wa madhehebu ya Dini nchini, yatafanyika Jumatano tarehe 22 Aprili, 2020 katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar Es Salaam, kuanzia Saa 3.00 Asubuhi ambapo Mgeni Rasmi atakuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z12TPdEmmSg/XocOsxOfpdI/AAAAAAALl6s/DLf_w4Ebn-QNybLnZotNuNURFWWxm4F1QCLcBGAsYHQ/s72-c/156fd9c1-3376-44e4-9cb6-526b5ac34e94.jpg)
KAMPUNI YA G1 SECURITY YAMPATIA RC MAKONDA MCHANGO WA GENERATOR KWAAJILI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z12TPdEmmSg/XocOsxOfpdI/AAAAAAALl6s/DLf_w4Ebn-QNybLnZotNuNURFWWxm4F1QCLcBGAsYHQ/s640/156fd9c1-3376-44e4-9cb6-526b5ac34e94.jpg)
Akipokea Mchango huo kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda, Mganga mkuu wa Mkoa huo Dr. Rashid Mfaume ameishukuru Kampuni hiyo kwa kuunga mkono juhudi za serikali ambapo ameeleza licha ya...
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Masheikh Dar es Salaam wamjia juu Makonda
MASHEIKH wa Mkoa wa Dar es Salaam wamelaani kauli zilizotolewa na Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Paul Makonda, ya kuwahusisha na...
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani