KAMPUNI YA G1 SECURITY YAMPATIA RC MAKONDA MCHANGO WA GENERATOR KWAAJILI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Z12TPdEmmSg/XocOsxOfpdI/AAAAAAALl6s/DLf_w4Ebn-QNybLnZotNuNURFWWxm4F1QCLcBGAsYHQ/s72-c/156fd9c1-3376-44e4-9cb6-526b5ac34e94.jpg)
Kampuni ya Ulinzi ya G1 Ltd leo imeunga mkono Juhudi za serikali ya Mkoa wa Dar es salaam katika Mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kwa kutoa Generator moja kwaajili ya kuzalisha umeme kwenye Vituo vilivyotengwa kwaajili ya tatizo la Corona kama ikitokea dharura ya umeme ukikatika.
Akipokea Mchango huo kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda, Mganga mkuu wa Mkoa huo Dr. Rashid Mfaume ameishukuru Kampuni hiyo kwa kuunga mkono juhudi za serikali ambapo ameeleza licha ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7-aiFlmZF48/XoHdlcVAtRI/AAAAAAABL9o/8C1yFrMpE-IleVXrFF7RnCgp6OlehMvxgCLcBGAsYHQ/s72-c/mm.jpg)
NMB YATOA MCHANGO WA SH. MIL 100 KWA SERIKALI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7-aiFlmZF48/XoHdlcVAtRI/AAAAAAABL9o/8C1yFrMpE-IleVXrFF7RnCgp6OlehMvxgCLcBGAsYHQ/s640/mm.jpg)
5 years ago
MichuziWATANZANIA WENYE UWEZO WATAKIWA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kushoto akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi msaada huo
![](https://1.bp.blogspot.com/-84vK5j5wGE0/Xp__E3PReSI/AAAAAAAAgoY/6yyQW_9RSBEyQrhV5tlYkWx9nP54Ym2mgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200420-WA0015.jpg)
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia akimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto wakati wa makabidhiano ya msaada huo
![](https://1.bp.blogspot.com/-xL3_ehRRRFM/Xp__FbxjLpI/AAAAAAAAgoc/TR8wB2HqvrQlf68dFv-jOdaCDqF2gyZpwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200420-WA0013.jpg)
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0Myg_0PaCwA/XsUr007MujI/AAAAAAALq-E/99OZ3lXgChwa4esf5XsSvkfzSy6wN7mAACLcBGAsYHQ/s72-c/aa1.jpg)
Benki ya CRDB yaikabidhi BAKWATA milioni 10 kusaidia mapambano dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Myg_0PaCwA/XsUr007MujI/AAAAAAALq-E/99OZ3lXgChwa4esf5XsSvkfzSy6wN7mAACLcBGAsYHQ/s640/aa1.jpg)
== === ==
Benki ya CRDB imekabidhi mchango wa shilingi...
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1lXnAUzo5O8/Xo3kCsl4rxI/AAAAAAALmjg/vqegO0e1Iz4EEU8CMXPyeYfVXQpATkg7gCLcBGAsYHQ/s72-c/9c4c9c61-31e4-484b-8337-fc25c390cc0b.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...
5 years ago
MichuziTAASISI YA HAKI FURSA YAMUOMBA SPIKA WA BUNGE KUANDAA TUZO MAALUM KWA AJILI YA KUTAMBUA MCHANGO WA RAIS DK.MAGUFULI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Ofisa Mipango wa Taasisi ya Haki Fursa Kwagilwa Reuben (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi habari leo Mei 27 , 2020 jijini Dar es Salaam kuhusu umuhimu wa Rais Dk.John Magufuli kupewa tuzo maalumu ya kutambua na kuthamini mchango wake katika kupambana na janga la Corona nchini.Kushoto ni Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo Ntimi Charles na kulia ni Ofisa Ustawi wa Jamii wa taasisi hiyo Lwitiko Mwakikuti.
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Haki Fursa Ntimi Charles (katikati) akisikiliza kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s72-c/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
KAMPUNI YA GGML YATOA SHILINGI BILIONI 1.6 KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VR88wpJU4fo/XqfVaWeXCrI/AAAAAAALoaM/QIDK9V0sREEUnIZR8wA846Th8zUZ54EiQCLcBGAsYHQ/s640/5cbd6997-e3b2-4875-9b79-bcbbfd26b1f0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8hzk-8xRn10/XqfVaYWwWWI/AAAAAAALoaQ/g2qtls5wKyAx6dDBBt7FiCp5De6LwfsSgCLcBGAsYHQ/s640/9dd985b1-8e22-4aed-ad29-26baf554f655.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cYuavRird68/XqfVaXTU2rI/AAAAAAALoaU/nqAUM9LZjXAL2mhH1eAjXckC-WGJ1rwvgCLcBGAsYHQ/s640/4034747a-3acf-476d-83d6-8304bb7db49c.jpg)
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa Shilingi bilioni 1.6 kuunga mkono juhudi za Serikali katika kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Corona ambayo hadi sasa yamesambaa katika nchi 210 duniani Tanzania ikiwemo.
Pia GGML imezindua mikakati...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHANGIA MSAADA WA LITA 1,250 ZA VITAKASA MIKONO KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA,
====== ========== ======== ========
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imeunga mkono mapambano dhidi ya...
11 years ago
Michuzi27 Mar
WAJERUMANI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI
![DSC_0080](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0080.jpg)
Na Damas Makangale
HUKU Tembo wakiendelea kuuawa katika mbuga kadhaa nchini, Serikali ya Ujerumani imeahidi kutoa ushirikiano wa kutosha katika kupambana tatizo la ujangili...