Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA WENYE UWEZO WATAKIWA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA



Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kushoto akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi msaada huo

Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia akimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto wakati wa makabidhiano ya msaada huo

Mkurugenzi wa Kiwanda cha Husseini Plastic Industries Limited cha Jijini Tanga, Yusuph Hassanali kulia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Benki ya CRDB yaikabidhi BAKWATA milioni 10 kusaidia mapambano dhidi ya Corona

Meneja Mwandamizi wa Mawasiliano na Mahusiano wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA), Nuhu Jabir Mruma, mfano wa hundi yenye thamani wa Sh. Milioni 10, zitakazoenda kusaidia kununua vifaa vya mapambano dhidi ya ugonjwa wa Korona katika maeneo ya ibada nchini. Makabidhiano hayo yamefanyika leo Mei 20, 2020 kwenye makao makuu ya Benki hiyo, jijini Dar es salaam.
==     ===   ==
Benki ya CRDB imekabidhi mchango wa shilingi...

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania watakiwa kujitolea kusaidia watu wenye uhitaji

 Na Mwandishi Wetu.
WITO  umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali kusaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali.
Wito huo umetolewa leo na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam, Winfrida Lubanza wakati akizungumza na wanafalia wa Lyalamo.
Alisema jamii inapaswa kuwakumbuka na watoto wakuopo katika vituo hivyo kwani wanastahili kupata mahitaji muhimu ya kibinadamu kama ilivyo kwa...

 

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA


Charles James, Michuzi TV

KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akimkabidhi Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Elisha Osati, mfano wa hundi yenye thamani ya Sh. Milioni 30,  ikiwa ni mchango wa Benki ya CRDB kusaidia kampeni ya kuelimisha juu ya mapambano ya ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi vya Corona. Makabidhiano hayo yalifanyika katika tawi la Benki ya CRDB Azikiwe, jijini Dar es Salaam leo.
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YATOA MCHANGO WA SH. MIL 100 KWA SERIKALI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA

Benki ya NMB katika kudhibiti na kupambana dhidi ya virusi vya Corona, Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya NMB-Ruth Zaipuna amekabidhi msaada wa kifedha shilingi Milioni 100 kwa Mhe. Waziri Mkuu - Kassim Majaliwa mbele ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto - Ummy Mwalimu pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali. Makabidhiano hayo yamefanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi ya Waziri Mkuu-Dar es Salaam.

 Waziri Mkuu - Kassim Majaliwa (wa tatu kushoto) akipokea hundi ya Sh....

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA G1 SECURITY YAMPATIA RC MAKONDA MCHANGO WA GENERATOR KWAAJILI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA.

Kampuni ya Ulinzi ya G1 Ltd leo imeunga mkono Juhudi za serikali ya Mkoa wa Dar es salaam katika Mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona kwa kutoa Generator moja kwaajili ya kuzalisha umeme kwenye Vituo vilivyotengwa kwaajili ya tatizo la Corona kama ikitokea dharura ya umeme ukikatika.

Akipokea Mchango huo kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda, Mganga mkuu wa Mkoa huo Dr. Rashid Mfaume ameishukuru Kampuni hiyo kwa kuunga mkono juhudi za serikali ambapo ameeleza licha ya...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AWATAKA WATANZANIA KUWA NA UZALENDO ULIOPITILIZA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara, akizungumza katika mkutano huo. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema.

Na Richard Mwaikenda, Ukonga.

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara, amewataka Watanzania kuwa na Uzalendo uliopitiliza katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona.

Amesema wawe makini na wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka...

 

11 years ago

Michuzi

WAJERUMANI KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI

DSC_0080 Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Dkt. Frank Steinmeier akizungumza waandishi wa habari kwenye mkutano huo jijini Dar es Salaam na kuelezea mafanikio ya ushirikiano wa nchi hizo mbili. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Bernard Membe.(Picha na Zainul Mzige).
Na Damas Makangale
HUKU Tembo wakiendelea kuuawa katika mbuga kadhaa nchini, Serikali ya Ujerumani imeahidi kutoa ushirikiano wa kutosha katika kupambana tatizo la ujangili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani