Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cameron aonywa dhidi ya kuishambulia Syria

Kamati ya bunge inayohusika na mashauri ya nchi za kigeni imesema kuwa inapinga hatua zozote za kijeshi huko Syria kutoka Uingereza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Cameron aomba idhini kukabili IS Syria

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron ameiomba bunge idhini ya kukabili IS nchini Syria ilikumaliza uwezo wake wa kuivamia

 

10 years ago

BBCSwahili

Syria ilitumia Chlorine dhidi ya wakazi

Gesi ya Chlorine ilitumika kuwashambulia watu Kaskazini mwa Syria mwaka huu, kwa mujibu wa shirika la (OPCW)

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi,China zapinga hatua dhidi ya Syria

Uchina na Urusi zimepiga kura ya turufu, kuzuia jaribio la baraza la usalama, la kutaka kuifikisha Syria katika mahakama ya ICC

 

10 years ago

GPL

NDEGE ZA MUUNGANO ZA KIVITA DHIDI YA DAESH ZAUA 66 SYRIA

Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria zimefanya mashambulio katika maeneo kadhaa na kuua raia 66 wa nchi hiyo. Harakati ya Kutetea Haki za Binadamu iliyoko nchini Uingereza inayoitwa Syrian Observatory for Human Rights 'SOHM' imeeleza kuwa, raia 66 wa Syria wakiwemo watoto 10 na wanawake 6 wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na ndege za kivita za muungano...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Mashambulio dhidi ya Idlib yalenga shule na hospitali'

Makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema kuwa takriban raia 20 Idlib, miongoni mwao watoto tisa

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa aonywa

JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemuonya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, kuwa staili ya kampeni aliyoianzisha na kutembelea maeneo mbalimbali katika ziara zisizo rasmi, inahatarisha usalama wa raia na mali zao, hivyo iachwe.

 

10 years ago

GPL

IDRIS WA BBA AONYWA

Stori: MUSA MATEJA
MSHINDI wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan ameonywa na mashabiki kuwa makini na akina dada kwani mamilioni ya shilingi alizokuja nazo zitawafanya wampapatikie kwa lengo la kumchuna. Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan akipozi na mdada. Wadau mbalimbali waliokuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Jumatano hii kumsubiri wakati akiwasili...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani