Lowassa aonywa
JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemuonya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, kuwa staili ya kampeni aliyoianzisha na kutembelea maeneo mbalimbali katika ziara zisizo rasmi, inahatarisha usalama wa raia na mali zao, hivyo iachwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Aug
Unajua kwanini Lowassa aonywa na Polisi?
JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemuonya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, kuwa staili ya kampeni aliyoianzisha na kutembelea maeneo mbalimbali katika ziara zisizo rasmi, inahatarisha usalama wa raia na mali zao, hivyo iachwe.
Onyo hilo limewagusa pia wagombea wa vyama vya siasa katika nafasi mbalimbali hasa urais, ikielezwa kuwa, katika ziara hizo hujitokeza watu wengi, ambapo pia wahalifu wanaweza kutumia mwanya huo kufanya vitendo vya uhalifu.
Akizungumza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEL87T64reURt-4nDQrPh8c*xyNbQHWT3oifB4Q2RxIKejNMM0HePSthaGh56lXxHb3piM*tBCBFT30zv0brVrJb/Idris.jpg?width=650)
IDRIS WA BBA AONYWA
Stori: MUSA MATEJA
MSHINDI wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan ameonywa na mashabiki kuwa makini na akina dada kwani mamilioni ya shilingi alizokuja nazo zitawafanya wampapatikie kwa lengo la kumchuna. Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan akipozi na mdada. Wadau mbalimbali waliokuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Jumatano hii kumsubiri wakati akiwasili...
10 years ago
GPLMEMBE AONYWA KUTOWACHAGULIA MGOMBEA
Picha mbalimbali za wanaharakati hao. Baadhi ya wanaharakati wa Jimbo la Mtama Mkoani Lindi linaloshikiliwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe, leo wamezungumza na wanahabari kuhusu kumnadi mgombea anayetaka kuwa mrithi wake jimboni kwake. Akizungumza katibu wa wanaharakati hao, Daudi Bernard alisema kuwa kwa muda aliokaa madarakani Mhe Membe hakuna mabadiliko yoyote hivyo asiwapangie...
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Cameron aonywa dhidi ya kuishambulia Syria
Kamati ya bunge inayohusika na mashauri ya nchi za kigeni imesema kuwa inapinga hatua zozote za kijeshi huko Syria kutoka Uingereza
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*5DPwGM7yMvaYoFKjdr0vqCkuX1uAsNC3bTEQgGYxBCpZZ*didYDzomH1Tgykz-1yx2bABvNcyqREKIMFvYs73/a.jpg?width=650)
ZARI AONYWA VIATU VIREFU NA UJAUZITO
MWANDISHI WETU UBAVU wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ ameonywa kuacha viatu virefu kutokana na ujauzito alionao.
Kwa mujibu wa daktari mmoja ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini, alisema kama anataka kujifungua salama basi ahakikishe anaachana na suala la kuvaa viatu virefu kwa wakati huu ambao ni mjamzito. Ubavu wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan...
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Kim Kardashian aonywa ngono za kila mara
Kila wakati inadhaniwa kuwa ni dhana kile kinachozungumzwa juu ya Kim Kardashian , lakini sasa imethibitika.
10 years ago
BBCSwahili15 Nov
Katika G20 Putin aonywa aondoke Ukraine
Mataifa ya magharibi yataka Rais Putin atimize makubaliano ya kusitisha mapigano Ukraine
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania