Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MEMBE AONYWA KUTOWACHAGULIA MGOMBEA

Picha mbalimbali za wanaharakati hao. Baadhi ya wanaharakati wa Jimbo la Mtama Mkoani Lindi linaloshikiliwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa  Mh. Bernard Membe, leo wamezungumza na wanahabari kuhusu kumnadi mgombea anayetaka kuwa mrithi wake jimboni kwake. Akizungumza katibu wa wanaharakati hao, Daudi Bernard alisema kuwa kwa muda aliokaa madarakani Mhe Membe hakuna mabadiliko yoyote hivyo asiwapangie...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Lowassa aonywa

JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemuonya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, kuwa staili ya kampeni aliyoianzisha na kutembelea maeneo mbalimbali katika ziara zisizo rasmi, inahatarisha usalama wa raia na mali zao, hivyo iachwe.

 

10 years ago

GPL

IDRIS WA BBA AONYWA

Stori: MUSA MATEJA
MSHINDI wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan ameonywa na mashabiki kuwa makini na akina dada kwani mamilioni ya shilingi alizokuja nazo zitawafanya wampapatikie kwa lengo la kumchuna. Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan akipozi na mdada. Wadau mbalimbali waliokuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Jumatano hii kumsubiri wakati akiwasili...

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron aonywa dhidi ya kuishambulia Syria

Kamati ya bunge inayohusika na mashauri ya nchi za kigeni imesema kuwa inapinga hatua zozote za kijeshi huko Syria kutoka Uingereza

 

9 years ago

StarTV

Unajua kwanini Lowassa aonywa na Polisi?

JESHI la Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limemuonya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, kuwa staili ya kampeni aliyoianzisha na kutembelea maeneo mbalimbali katika ziara zisizo rasmi, inahatarisha usalama wa raia na mali zao, hivyo iachwe. Onyo hilo limewagusa pia wagombea wa vyama vya siasa katika nafasi mbalimbali hasa urais, ikielezwa kuwa, katika ziara hizo hujitokeza watu wengi, ambapo pia wahalifu wanaweza kutumia mwanya huo kufanya vitendo vya uhalifu.

Akizungumza...

 

10 years ago

GPL

ZARI AONYWA VIATU VIREFU NA UJAUZITO

MWANDISHI WETU UBAVU wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ ameonywa kuacha viatu virefu kutokana na ujauzito alionao.
Kwa mujibu wa daktari mmoja ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini, alisema kama anataka kujifungua salama basi ahakikishe anaachana na suala la kuvaa viatu virefu kwa wakati huu ambao ni mjamzito. Ubavu wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim Kardashian aonywa ngono za kila mara

Kila wakati inadhaniwa kuwa ni dhana kile kinachozungumzwa juu ya Kim Kardashian , lakini sasa imethibitika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Katika G20 Putin aonywa aondoke Ukraine

Mataifa ya magharibi yataka Rais Putin atimize makubaliano ya kusitisha mapigano Ukraine

 

11 years ago

Michuzi

NYOTA YA JACKSON KISWAGA YANG'ARA KALENGA ,WANA KALENGA WAWAOMBA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU KUTOWACHAGULIA WINGINE ZAIDI YA KISWAGA

Wazee wa kabila la Kihehe, kata ya Kalenga mkoani Iringa wakimpa heshima ya kichifu  alipokuwa Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kusini Jackson Kiswaga ambae  leo anapigiwa  kura  za maoni  za  kusimamakugombea  ubunge  kupitia  CCM jimbo la Kalenga
Bw Kiswaga  akiwashukuru  wana kalenga kwa maombi  na imani  yao kwake.
Na Francis Godwin, Iringa Wakati  leo  wajumbe wa Halmashauri  kuu ya CCM jimbo la Kalenga  wanakutaka  katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa  kumteua ...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"



 Mgombea Mwenza wa Ukawa Juma Duni Haji akipokea kadi ya CCM kutoka kwa mwanachama wa chama hicho, Kasim Msham aliyekihama na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinji Mkoa wa Lindi. (Picha na Francis Dande)Kadi za CCM zilizorudishwa na wanachama wa Chama hicho na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinjimkoa wa Lindi.
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Majengo wilayani Bagamoyo. Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani