Kocha wa Simba ajinasibu kutawala soka.
Kocha mpya wa Simba, Muingereza Dylan Kerr amesema ana imani timu ya Simba itakuwa tishio msimu ujao wa ligi kuu Tanzania Bara.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Micho ajinasibu kwa yaliyopita
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
PIGO WADAU WA SOKA NCHINI: Kocha Sylvester Marsh afariki dunia mapema leo
Marsh (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Kocha mkuu wa timu ya Taifa wakati huo, Kim Paulsen.
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Habari zilizotufikiaa chumba cha habari cha mtandao huu wa Mo dewji blog, ni kuwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Sylvester Marsh amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa.
Taarifa hizo zilibainisha kuwa, Marsh alipatwa na umauti huo alipokuwa akiendelea na matibabu ya maradhi...
10 years ago
Habarileo10 Aug
Simba wamchefua kocha
KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya SCVilla ya Uganda juzi, hajafurahishwa na kiwango cha wachezaji wake.
9 years ago
Habarileo25 Sep
Kocha Simba atimka
IKIWA imebaki siku moja kuchezwa kwa pambano la watani wa jadi la Simba na Yanga, klabu ya Simba imeachana na kocha wake wa viungo Dusan Marmcilovic, imeelezwa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA SIMBA AFARIKI
10 years ago
BBCSwahili14 May
Kocha wa Simba arejea kwao
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Kocha wa KCC aisikitikia Simba
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Kocha Kopunovic tena Simba
Mserbia, Goran Kopunovic.
Hans Mloli,
Dar es Salaam
UNAWEZA kuona kama ni utani lakini ndiyo hali halisi ilivyo, Klabu ya Simba imeamua kufanya mazungumzo na aliyekuwa kocha wao, Mserbia, Goran Kopunovic.
Ishu ya kuanza mazungumzo na kocha huyo iliibuka wakati wa mchakato wa awali ulipoanza wa kumtafuta kocha msaidizi wa timu hiyo ambaye mpaka sasa bado hajapatikana baada ya kocha mkuu wa wekundu hao, Dylan Kerr kuchomoa ujio wa Mganda, Moses Basena.
Habari ikufikie kuwa Kopunovic...