Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Micho ajinasibu kwa yaliyopita

Milutin 'Micho' Sredojevic amesema timu yake, The Cranes ilicheza kwa umakini na kuwafunga wenyeji wao Taifa Stars.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Simba ajinasibu kutawala soka.

Kocha mpya wa Simba, Muingereza Dylan Kerr amesema ana imani timu ya Simba itakuwa tishio msimu ujao wa ligi kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

Bongo Movies

Batuli: Nayachukia Mapenzi Yaliyopita

Mrembo na mwigizaji  wa kike wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho kinamuuza na kukichukia kama mapenzi yaliyopita.

Akizungumza na mwandishi wa GPL, Batuli alisema kuwa  anachukia na kudharau mno uhusiano uliopita kwani haukuwa ni sahii kwake hivyo hataki hata kuukumbuka.

“Nayachukia sana mapenzi yaliyopita kwa kweli na kuna wakati sipendi kabisa kuifanya akili yangu ikumbuke uhusiano wa nyuma, maana hauna kumbukumbu nzuri kwangu,” alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sahau yaliyopita, ukumbatie yajayo

TUNAISHI katika dunia yenye maudhi na machungu mengi na hakuna mtu ambaye hajawahi kukwazika maishani. Ukiwa bado hai, tegemea kukutana na mambo mengi ingawa kila mtu anawaza kuhusu mafanikio, ni...

 

10 years ago

GPL

BATULI: NAYACHUKIA MAPENZI YALIYOPITA

Stori: Imelda Mtema STAA mkali wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho kinamuuza na kukichukia kama mapenzi yaliyopita. Staa mkali wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Batuli alisema kuwa  anachukia na kudharau mno uhusiano uliopita kwani haukuwa ni sahii kwake hivyo hataki hata kuukumbuka....

 

11 years ago

BBCSwahili

'Yaliyopita si ndwele Tugange yajayo'

Je unamkumbuka Monica Lewinsky? mwanamke aliyekuwa na uhusiano wa kimapenzi ya aliyekuwa Rais wa Marekani Bill Clinton?

 

9 years ago

Mwananchi

Ubingwa wamfuta machozi Micho

Addis Ababa. Kocha wa Uganda, Sredojevic Milutin ‘Micho’ amesema ubingwa wa Kombe la Chalenji kwake umempunguzia machungu ya kukosa fainali zilizopita za Mataifa ya Afrika.

 

11 years ago

BBC

2015 qualifying is tight - Micho

Uganda coach Milutin 'Micho' Sredojevic voices his concerns over the fixture schedule for the 2015 Nations Cup qualifiers.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda- Ukawa mrudi, yaliyopita si ndwele

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliotoka bungeni wiki iliyopita, kurejea Agosti kuendelea na mchakato.

 

10 years ago

Mwananchi

Jeuri ya Micho iwazindue nyota wetu

Jumanne iliyopita, timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ ilijitupa kwenye Uwanja wake wa Nelson Mandela uliopo Namboole kuumana na timu ya Taifa ya Gambia katika mchezo wa kujipima nguvu kujiandaa na mechi ya kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (Afcon 2017).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani