Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda- Ukawa mrudi, yaliyopita si ndwele

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliotoka bungeni wiki iliyopita, kurejea Agosti kuendelea na mchakato.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

'Yaliyopita si ndwele Tugange yajayo'

Je unamkumbuka Monica Lewinsky? mwanamke aliyekuwa na uhusiano wa kimapenzi ya aliyekuwa Rais wa Marekani Bill Clinton?

 

10 years ago

BBCSwahili

Micho ajinasibu kwa yaliyopita

Milutin 'Micho' Sredojevic amesema timu yake, The Cranes ilicheza kwa umakini na kuwafunga wenyeji wao Taifa Stars.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sahau yaliyopita, ukumbatie yajayo

TUNAISHI katika dunia yenye maudhi na machungu mengi na hakuna mtu ambaye hajawahi kukwazika maishani. Ukiwa bado hai, tegemea kukutana na mambo mengi ingawa kila mtu anawaza kuhusu mafanikio, ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Batuli: Nayachukia Mapenzi Yaliyopita

Mrembo na mwigizaji  wa kike wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho kinamuuza na kukichukia kama mapenzi yaliyopita.

Akizungumza na mwandishi wa GPL, Batuli alisema kuwa  anachukia na kudharau mno uhusiano uliopita kwani haukuwa ni sahii kwake hivyo hataki hata kuukumbuka.

“Nayachukia sana mapenzi yaliyopita kwa kweli na kuna wakati sipendi kabisa kuifanya akili yangu ikumbuke uhusiano wa nyuma, maana hauna kumbukumbu nzuri kwangu,” alisema...

 

10 years ago

GPL

BATULI: NAYACHUKIA MAPENZI YALIYOPITA

Stori: Imelda Mtema STAA mkali wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho kinamuuza na kukichukia kama mapenzi yaliyopita. Staa mkali wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Batuli alisema kuwa  anachukia na kudharau mno uhusiano uliopita kwani haukuwa ni sahii kwake hivyo hataki hata kuukumbuka....

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe amshangaa Pinda kuhusu Ukawa

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameelezea kushangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kitendo cha Ukawa kususia Bunge la Katiba kinauweka njia panda uchaguzi wa serikali za mitaa.

 

11 years ago

IPPmedia

Pinda: CCM shall counter Ukawa campaigns


IPPmedia
Pinda: CCM shall counter Ukawa campaigns
IPPmedia
Prime Minister Mizengo Pinda has said the ruling Chama Cha Mapinduzi will deploy its cadres across the country to counter claims should leaders of the Coalition of People's Constitution (Ukawa) decide to go round the country to explain their controversial ...
'Founding fathers shouldn't be insulted'Daily News
Zanzibar police ban opposition rally, cites terror threatTurkish Press

all 12

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda asisitiza Ukawa warejee bungeni

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameendelea kuwasisitiza wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea bungeni ili kuhitimisha jukumu hilo lenye masilahi kwa Watanzania wote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani