Pinda asisitiza Ukawa warejee bungeni
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameendelea kuwasisitiza wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea bungeni ili kuhitimisha jukumu hilo lenye masilahi kwa Watanzania wote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Kinana: Siyo lazima Ukawa warejee bungeni
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Waislamu Singida waomba Ukawa warejee Bungeni
Sheikh wa mkoa wa Singida na Meya Mstahiki wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akitoa mawaidha yake kwenye kilele cha Siku kuu ya Eid El-Fitr kilichofanyika kwenye uwanja wa Namfua leo. Pamoja na mambo mengine, Sheikh Mahami amekisihi kikundi cha Ukawa kurudi Bungeni, ili waweze kuwapatia Watanzania Katiba itakayokidhi mahitaji ya zaidi ya miaka 50 ijayo.
Na Nathaniel Limu
WAUMINI wa dini ya kiislamu mkoani Singida, wameungana na Watanzania wanaoipenda nchi yao...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Ikulu: Rais hakuwaomba Ukawa warejee bungeni
11 years ago
Michuzi20 Apr
ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na Francis Godwin, Iringa
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya Iringa Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada ya Jumapili ya Pasaka leo kulaani vikali wale wote wanaowatukana...
11 years ago
Michuzi24 Jul
SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .
10 years ago
Dewji Blog16 Aug
Waziri Mkuu Pinda asisitiza umuhimu wa ardhi katika uwekezaji
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda amewatoa Watanzania hofu kuhusu suala la wageni kumiliki ardhi nchini.
Waziri Mkuu Pinda alitoa kauli hiyo jijini Dar es salaam wakati akifungua mkutano wa pili wa majadiliano ya pamoja kati ya Serikali ya Mitaa ya China na Tanzania ambapo walishirikiana pia na sekta ya biashara kutoka nchi hizo.
“Hofu ni halali na ni lazima kwa Watanzania...
9 years ago
StarTV02 Oct
Mgombea Urais UKAWA Edward Lowassa asisitiza kutumia TEKNOHAMA
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kinachoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amesema Sera yake anayoitumia ya Elimu kwanza si kwa mfumo uliopo sasa bali atabadilisha mfumo mzima na kuufanya kuwa wa TEKNOHAMA.
Amedai teknolojia hiyo ataifanya iweze kuwafikia wananchi kwa wepesi kwa kutumia rasilimali zilizopo kama Gesi asilia, madini ,vyanzo vya utalii na fedha zilizopo kwa kuwa anaamini Serikali bado ina pesa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sPZvRagUHK0/VT5XHbKBnQI/AAAAAAAHTpI/ec53E00gzeo/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
WAZIRI MKUU MHE:PINDA ASISITIZA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-sPZvRagUHK0/VT5XHbKBnQI/AAAAAAAHTpI/ec53E00gzeo/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FyHLNBUlzZ0/VT5XQsMHZdI/AAAAAAAHTps/7iA6fMOsJrw/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-m_3KtPFs17Q/VT5Rz39gg1I/AAAAAAAAdDg/nE_sjBEpbUQ/s72-c/Picha%2Bna%2B5.jpg)
WAZIRI MKUU MHE:PINDA ASISITIZA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-m_3KtPFs17Q/VT5Rz39gg1I/AAAAAAAAdDg/nE_sjBEpbUQ/s1600/Picha%2Bna%2B5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k4IsvpLrviY/VT5R0T6qW4I/AAAAAAAAdDk/4acV_XFu1JE/s1600/Picha%2B%2Bna%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EV4SO4PX2zs/VT5R9OTP-LI/AAAAAAAAdDw/Hkx-m8lZPpc/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)