Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sahau yaliyopita, ukumbatie yajayo

TUNAISHI katika dunia yenye maudhi na machungu mengi na hakuna mtu ambaye hajawahi kukwazika maishani. Ukiwa bado hai, tegemea kukutana na mambo mengi ingawa kila mtu anawaza kuhusu mafanikio, ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

'Yaliyopita si ndwele Tugange yajayo'

Je unamkumbuka Monica Lewinsky? mwanamke aliyekuwa na uhusiano wa kimapenzi ya aliyekuwa Rais wa Marekani Bill Clinton?

 

10 years ago

Bongo Movies

Batuli: Nayachukia Mapenzi Yaliyopita

Mrembo na mwigizaji  wa kike wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho kinamuuza na kukichukia kama mapenzi yaliyopita.

Akizungumza na mwandishi wa GPL, Batuli alisema kuwa  anachukia na kudharau mno uhusiano uliopita kwani haukuwa ni sahii kwake hivyo hataki hata kuukumbuka.

“Nayachukia sana mapenzi yaliyopita kwa kweli na kuna wakati sipendi kabisa kuifanya akili yangu ikumbuke uhusiano wa nyuma, maana hauna kumbukumbu nzuri kwangu,” alisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Micho ajinasibu kwa yaliyopita

Milutin 'Micho' Sredojevic amesema timu yake, The Cranes ilicheza kwa umakini na kuwafunga wenyeji wao Taifa Stars.

 

10 years ago

GPL

BATULI: NAYACHUKIA MAPENZI YALIYOPITA

Stori: Imelda Mtema STAA mkali wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho kinamuuza na kukichukia kama mapenzi yaliyopita. Staa mkali wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Batuli alisema kuwa  anachukia na kudharau mno uhusiano uliopita kwani haukuwa ni sahii kwake hivyo hataki hata kuukumbuka....

 

11 years ago

Habarileo

Pinda- Ukawa mrudi, yaliyopita si ndwele

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliotoka bungeni wiki iliyopita, kurejea Agosti kuendelea na mchakato.

 

10 years ago

Raia Mwema

Tusipojifunza kutoka historia yetu hatutaweza kuona yajayo

MATUKIO ya kisiasa ya hivi karibuni, na ambayo yataendelea kwa muda hadi Uchaguzi Mkuu mwishoni m

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA KUCHUKUA FOMU YA URAIS NDANI YA MASAA 12 YAJAYO

Mh:Mwigulu Nchemba,KIjana aliyetangaza nia ya Kuwania URAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku chache zilizopita,Huku HOTUBA yake ikiacha Gumzo nchi Nzima.Hapo kesho anategemea Kuchukua Fomu ya Kuwania Urais Mwaka 2015.Tukio la KUCHUKUA FOMU litafanyika Mako Makuu ya CHAMA CHA MAPINDUZI,DODOMA kuanzia Majira ya saa 4:00 Asubuhi ya Tar.6.6.2015(Jumamosi).Tunakutakia kila raheli Mh:Mwigulu Nchemba katika Safari yako ya kuelekea Kuliongoza Taifa hili linalo-turn to Miaka 50 Ijayo. Kauli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani