Batuli: Nayachukia Mapenzi Yaliyopita
Mrembo na mwigizaji wa kike wa filamu za hapa Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho kinamuuza na kukichukia kama mapenzi yaliyopita.
Akizungumza na mwandishi wa GPL, Batuli alisema kuwa anachukia na kudharau mno uhusiano uliopita kwani haukuwa ni sahii kwake hivyo hataki hata kuukumbuka.
“Nayachukia sana mapenzi yaliyopita kwa kweli na kuna wakati sipendi kabisa kuifanya akili yangu ikumbuke uhusiano wa nyuma, maana hauna kumbukumbu nzuri kwangu,” alisema...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxvd*GdWcOZNXXPkbIgEdO*UoHWJqviBTriQGIYzOsTZ9dCkx4fkO52sNjusEOFy2XTRP6OafmEdaOqu5jR0-m4Mt/ba2li.jpg)
BATULI: NAYACHUKIA MAPENZI YALIYOPITA
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Micho ajinasibu kwa yaliyopita
11 years ago
BBCSwahili08 May
'Yaliyopita si ndwele Tugange yajayo'
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Sahau yaliyopita, ukumbatie yajayo
TUNAISHI katika dunia yenye maudhi na machungu mengi na hakuna mtu ambaye hajawahi kukwazika maishani. Ukiwa bado hai, tegemea kukutana na mambo mengi ingawa kila mtu anawaza kuhusu mafanikio, ni...
11 years ago
Habarileo26 Apr
Pinda- Ukawa mrudi, yaliyopita si ndwele
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliotoka bungeni wiki iliyopita, kurejea Agosti kuendelea na mchakato.
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*Wm6yuRZ6x15Qf8WBae0pCp*0urHCnsE0m5RT-Dl6JZOiJXlfjNBxXiAeTqgTdh*8ZW1CyPtg6bBeSqPlUEafRo/mahaba.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXL*AF1fmCWxUk86LDfmEGsL87oUWr3gJlJboJ6q2cnTzpuD9GK1w6Z-dQYlHlFSpt-pxxZmVytpiaVIzz6PqrOn/passionatecouple.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPPX0oQx7I0jzHY27HIJh2fWoKlZo*idQpNqjja4xXXMVI7bS1ElsswWofs-G2MGCahYOthvy1OK2sX8k3tV1NZ/batuli.jpg?width=650)
BATULI KUOLEWA SOON