Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeuri ya Micho iwazindue nyota wetu

Jumanne iliyopita, timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ ilijitupa kwenye Uwanja wake wa Nelson Mandela uliopo Namboole kuumana na timu ya Taifa ya Gambia katika mchezo wa kujipima nguvu kujiandaa na mechi ya kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (Afcon 2017).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ubingwa wamfuta machozi Micho

Addis Ababa. Kocha wa Uganda, Sredojevic Milutin ‘Micho’ amesema ubingwa wa Kombe la Chalenji kwake umempunguzia machungu ya kukosa fainali zilizopita za Mataifa ya Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Micho ajinasibu kwa yaliyopita

Milutin 'Micho' Sredojevic amesema timu yake, The Cranes ilicheza kwa umakini na kuwafunga wenyeji wao Taifa Stars.

 

11 years ago

BBC

2015 qualifying is tight - Micho

Uganda coach Milutin 'Micho' Sredojevic voices his concerns over the fixture schedule for the 2015 Nations Cup qualifiers.

 

11 years ago

TheCitizen

Cranes’ Micho upset by preliminaries start

Cranes coach Micho Sredojevic was yesterday taken aback by news that Uganda’s road to the 2015 Orange Africa Cup of Nations will have to take a rather longer route.

 

9 years ago

TheCitizen

Micho lauds his charges after win over Malawi

After booking a semi-final berth at the expense of The Flames of Malawi in the ongoing CECAFA Senior Challenge Cup, Uganda Cranes head coach Milutin Sredojevic has expressed his joy and lauded his lads.

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jeuri ya Sitta

WAKATI Bunge Maalum la Katiba likianza mjadala wa jumla kwa wenyeviti wa Kamati kuwasilisha taarifa za wajumbe leo, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta ametamba kuwa, Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Jeuri ya Ukawa

MTZ Alhamisi new july.indd*Waainisha watakapopata fedha za kutoa elimu bure, kuziba pengo la bajeti watakapopunguza kodi ya mshahara kutoka asilimia 18 hadi tisa.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

BAADA ya ahadi ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ya kutoa elimu bure kwenye ngazi zote na kupunguza kodi ya mishahara kutoka asilimia 18 hadi tisa, kubezwa kwamba haitekelezeki, umoja huo umeeleza ilipopata jeuri ya ahadi hiyo baada ya kuainisha vyanzo vya mapato watakavyotumia.

Akizungumza na...

 

11 years ago

GPL

JEURI NYINGINE YA DIDA!

Stori: Shakoor Jongo Zimemtembelea! Prizenta wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kinachorushwa na Radio Times FM, Hadija Shaibu ‘Dida’ ameonesha jeuri nyingine ya fedha baada ya kununua magari mengine mawili kwa mpigo. Hadija Shaibu ‘Dida’ akiikagua gari yake. Dida amefanya kufuru hiyo ikiwa imepita miezi kadhaa tangu atangaze kuwa ana nyumba mbili maeneo ya Goba na Kigamboni pamoja na kuyaanika magari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani