Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha wa KCC aisikitikia Simba

>Siku moja baada ya KCC kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi, kocha wa KCC, George Nsimbe ameisikitikia Simba na kusema “Ooh! poleni sana Simba, siyo nia yetu kuondoka na Kombe la Mapinduzi.”

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kocha KCC ashangaa kubeba ubingwa Zenji

KOCHA Mkuu wa timu ya KCC ya Uganda, George Nsimwa, juzi alitoa kali kwa kusema anashangazwa na timu yake kubeba ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Amaan, mjini...

 

11 years ago

TheCitizen

In-form Simba target KCC scalp

Simba SC will be subjected yet to another tricky test today when they clash with KCC of Uganda in the Mapinduzi Cup final at the Amaan Stadium.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yang’ara, Simba kwa KCC

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC imeanza vyema mashindano hayo baada ya kuichapa Spice Stars kwa mabao 2-0, wakati leo Simba wataonyeshana kazi na KCC kwenye Uwanja wa Amaan.

 

11 years ago

GPL

HALF TIME FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: SIMBA 0, KCC 1

Timu za Simba na KCC zikisubiri kukaguliwa kabla ya mtanange kuanza kwenye Uwanja wa Amaan mjini Unguja. KWA sasa ni mapumziko katika mechi ya fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kati ya Simba SC na KCC ya Uganda ndani ya Uwanja wa Amaan mjini Unguja. KCC wako mbele kwa bao…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba, KCC vitani leo .Azam yaua 2-0, Chuoni vs URA sare

c WEKUNDU wa Msimbazi, Simba baada ya juzi kuanza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuifunga AFC Leopards ya Kenya kwa bao 1-0, leo inajitupa tena dimba la Amaan...

 

11 years ago

Mwananchi

‘SMG’ aisikitikia safu ya ushambuliaji Ashanti

Winga wa Ashanti United, Said Maulid ‘SMG’ ameilalamikia safu yao ushambuliaji ya timu hiyo kuwa ni tatizo na imewagharimu katika mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar.

 

10 years ago

Habarileo

Simba wamchefua kocha

KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya SCVilla ya Uganda juzi, hajafurahishwa na kiwango cha wachezaji wake.

 

11 years ago

GPL

KOCHA SIMBA AFARIKI

James Kisaka enzi za uhai wake. Aliyekuwa kocha wa makipa wa Klabu ya Simba, James Kisaka amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Burhan, Dar es Salaam. Kisaka aliyewahi kuwa kipa wa timu hiyo miaka ya nyuma, alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kichwa, macho na miguu kwa muda mrefu. Global Publishers tunatoa pole kwa ndugu na jamaa. MUNGU AIPUMZISHE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI.… ...

 

10 years ago

Habarileo

Kocha Simba atimka

IKIWA imebaki siku moja kuchezwa kwa pambano la watani wa jadi la Simba na Yanga, klabu ya Simba imeachana na kocha wake wa viungo Dusan Marmcilovic, imeelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani