Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘SMG’ aisikitikia safu ya ushambuliaji Ashanti

Winga wa Ashanti United, Said Maulid ‘SMG’ ameilalamikia safu yao ushambuliaji ya timu hiyo kuwa ni tatizo na imewagharimu katika mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa KCC aisikitikia Simba

>Siku moja baada ya KCC kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi, kocha wa KCC, George Nsimbe ameisikitikia Simba na kusema “Ooh! poleni sana Simba, siyo nia yetu kuondoka na Kombe la Mapinduzi.”

 

10 years ago

Mwananchi

Katibu Mkuu aisikitikia NCCR, asema historia itawahukumu

Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Mosena Nyambabe amesema kuwa alitabiri kwamba historia itawahukumu na ndicho kilichotokea.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atambia ushambuliaji

YANGJUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR

KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amedai kuwa moto wa mshambuliaji wake, Amissi Tambwe anayeshirikiana vema na mawinga, Mrisho Ngassa na Simon Msuva utamwezesha kuiua FC Platinum ya Zimbabwe ugenini.

Yanga itachuana na Platinum keshokutwa kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika, utakaofanyika Uwanja wa Mandava, uliopo jijini Zvishavane.

Kikosi cha Yanga kinaondoka nchini kesho kikiwa kifua mbele kutokana na ushindi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga ukuta, Azam, Simba ushambuliaji

Ngome ya Yanga haijaruhusu bao katika  mechi tano ilizocheza chini ya kocha mpya, Marcio Maximo, mechi nne zikiwa za kirafiki na moja ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha kuimarisha ushambuliaji Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Abdul Mingange amesema atatumia mapumziko ya sasa kulifanyia kazi suala la umaliziaji katika kikosi hicho.

 

9 years ago

Mwananchi

Ngoma abadili mfumo wa ushambuliaji Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amelazimika kubadili mbinu za ushambuliaji wake ili kumlinda mshambuliaji Donald Ngoma dhidi ya mabeki wa timu pinzani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yawazawadia waliokamata SMG

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limetoa zawadi kwa wananchi pamoja na Sungungu katika kata za Segese na Lunguya, wilayani Kahama baada ya kufanikisha kukamatwa kwa watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WASALIMISHA SMG 2 POLISI

kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Lineratus Sabas aakionyesho moja ya silaha ambazo zimesalimishwa  na wananchi


Jeshi la polisi mkoani Arusha limefanikiwa  kupata silaha mbili aina ya SMG ambazo  zilisalimishwa na wananchi katika mbili tofauti  huko wilayani ngorongoro.


Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoani Arusha Lineratus Sabas  alisema kuwa Silaha hizo zilisalimishwa na wananchi katika siku tofa uti tofauti ambapo alisema kuwa silaha ya kwanza ilisalimishwa September...

 

11 years ago

Mwananchi

Safu za uongozi zakamilika

Chadema jana ilihitimisha kupanga safu yake ya uongozi kwa kuwachagua viongozi wa Taifa katika mkutano wake mkuu uliofanyika jijini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani