‘SMG’ aisikitikia safu ya ushambuliaji Ashanti
Winga wa Ashanti United, Said Maulid ‘SMG’ ameilalamikia safu yao ushambuliaji ya timu hiyo kuwa ni tatizo na imewagharimu katika mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Kocha wa KCC aisikitikia Simba
10 years ago
Mwananchi01 Nov
Katibu Mkuu aisikitikia NCCR, asema historia itawahukumu
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Pluijm atambia ushambuliaji
JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amedai kuwa moto wa mshambuliaji wake, Amissi Tambwe anayeshirikiana vema na mawinga, Mrisho Ngassa na Simon Msuva utamwezesha kuiua FC Platinum ya Zimbabwe ugenini.
Yanga itachuana na Platinum keshokutwa kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika, utakaofanyika Uwanja wa Mandava, uliopo jijini Zvishavane.
Kikosi cha Yanga kinaondoka nchini kesho kikiwa kifua mbele kutokana na ushindi wa...
11 years ago
Mwananchi21 Sep
Yanga ukuta, Azam, Simba ushambuliaji
9 years ago
Habarileo31 Dec
Kocha kuimarisha ushambuliaji Mbeya City
KOCHA wa Mbeya City, Abdul Mingange amesema atatumia mapumziko ya sasa kulifanyia kazi suala la umaliziaji katika kikosi hicho.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Ngoma abadili mfumo wa ushambuliaji Yanga
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Polisi yawazawadia waliokamata SMG
JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limetoa zawadi kwa wananchi pamoja na Sungungu katika kata za Segese na Lunguya, wilayani Kahama baada ya kufanikisha kukamatwa kwa watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni...
11 years ago
Michuzi
WANANCHI WASALIMISHA SMG 2 POLISI


Jeshi la polisi mkoani Arusha limefanikiwa kupata silaha mbili aina ya SMG ambazo zilisalimishwa na wananchi katika mbili tofauti huko wilayani ngorongoro.
Akiongea na waandishi wa habari kamanda wa polisi mkoani Arusha Lineratus Sabas alisema kuwa Silaha hizo zilisalimishwa na wananchi katika siku tofa uti tofauti ambapo alisema kuwa silaha ya kwanza ilisalimishwa September...
11 years ago
Mwananchi15 Sep
Safu za uongozi zakamilika