Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm atambia ushambuliaji

YANGJUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR

KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amedai kuwa moto wa mshambuliaji wake, Amissi Tambwe anayeshirikiana vema na mawinga, Mrisho Ngassa na Simon Msuva utamwezesha kuiua FC Platinum ya Zimbabwe ugenini.

Yanga itachuana na Platinum keshokutwa kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika, utakaofanyika Uwanja wa Mandava, uliopo jijini Zvishavane.

Kikosi cha Yanga kinaondoka nchini kesho kikiwa kifua mbele kutokana na ushindi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ngoma abadili mfumo wa ushambuliaji Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amelazimika kubadili mbinu za ushambuliaji wake ili kumlinda mshambuliaji Donald Ngoma dhidi ya mabeki wa timu pinzani.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga ukuta, Azam, Simba ushambuliaji

Ngome ya Yanga haijaruhusu bao katika  mechi tano ilizocheza chini ya kocha mpya, Marcio Maximo, mechi nne zikiwa za kirafiki na moja ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam.

 

11 years ago

Mwananchi

‘SMG’ aisikitikia safu ya ushambuliaji Ashanti

Winga wa Ashanti United, Said Maulid ‘SMG’ ameilalamikia safu yao ushambuliaji ya timu hiyo kuwa ni tatizo na imewagharimu katika mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar.

 

9 years ago

Habarileo

Kocha kuimarisha ushambuliaji Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Abdul Mingange amesema atatumia mapumziko ya sasa kulifanyia kazi suala la umaliziaji katika kikosi hicho.

 

9 years ago

Habarileo

Julio atambia washambuliaji

KOCHA wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ametamba washambuliaji wake wakiongozwa na Jeryson Tegete watatisha hivyo kila timu ijiandae kupata kipigo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bocco atambia mafanikio Azam FC

NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...

 

10 years ago

Habarileo

Nassari atambia mafanikio yake

Joshua NassariMBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.

 

9 years ago

Habarileo

Mkwasa atambia kambi Uturuki

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa amesema anaamini kambi ya Uturuki itawapika wachezaji wake vya kutosha kuikabili Nigeria. Stars ipo Uturuki tangu mwishoni mwa wiki iliyopita na itarejea nchini siku chache kabla ya kuivaa Nigeria jijini Dar es Salaam Septemba 5 mwaka huu.

 

9 years ago

GPL

JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE

Imelda Mtema STAA wa filamu za Kibongo Jacqueline Pentzel maarufu kama Jack wa Chuz ametamba kuwa ndoa yake na Gardner Dibibi ipo imara licha ya kukumbwa na misukosuko ya kuachana na kurudiana. Akiteta na gazeti hili hivi karibuni, msanii huyo alisema kuwa hakwenda kucheza kwenye ndoa kama wasanii wenzake wanavyodhani, kwani licha ya kumuombea mabaya, amemudu kuwa imara kwa kumaliza matatizo yao kila yanapotokea na maisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani