Julio atambia washambuliaji
KOCHA wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ametamba washambuliaji wake wakiongozwa na Jeryson Tegete watatisha hivyo kila timu ijiandae kupata kipigo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Pluijm atambia ushambuliaji
JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans van Der Pluijm, amedai kuwa moto wa mshambuliaji wake, Amissi Tambwe anayeshirikiana vema na mawinga, Mrisho Ngassa na Simon Msuva utamwezesha kuiua FC Platinum ya Zimbabwe ugenini.
Yanga itachuana na Platinum keshokutwa kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika, utakaofanyika Uwanja wa Mandava, uliopo jijini Zvishavane.
Kikosi cha Yanga kinaondoka nchini kesho kikiwa kifua mbele kutokana na ushindi wa...
9 years ago
Habarileo27 Aug
Mkwasa atambia kambi Uturuki
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars Charles Mkwasa amesema anaamini kambi ya Uturuki itawapika wachezaji wake vya kutosha kuikabili Nigeria. Stars ipo Uturuki tangu mwishoni mwa wiki iliyopita na itarejea nchini siku chache kabla ya kuivaa Nigeria jijini Dar es Salaam Septemba 5 mwaka huu.
10 years ago
Habarileo29 Dec
Nassari atambia mafanikio yake
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amesema atapita tena katika jimbo hilo mchana kweupe, kwani amefanya mambo mengi, ikiwemo kuhakikisha usafi wa Soko la Tengeru, hivyo wafanyabiashara kufanya biashara sehemu safi na salama.
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Bocco atambia mafanikio Azam FC
NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Washambuliaji hakuna
9 years ago
Habarileo27 Nov
Shein atambia tuzo ya Sheria ya Watoto
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema ushindi wa tuzo ya dhahabu iliyopewa Sheria ya Watoto ya Zanzibar ni kielelezo cha matokeo ya kazi nzuri iliyofanywa na wengi kwa maslahi mapana ya watu wa Zanzibar.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPPE9ljOONJR9hga9W3GCqcw0fBMRJmABXec1p-AVEhz1FA8F1fsbjmzR1PIN0VjK3-hdb9X9YOV4rnE89M3BGYt/aisha.jpg)
AISHA BUI ATAMBIA KAZI YAKE
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JACKYWACHUZII.jpg?width=650)
JACK CHUZ ATAMBIA NDOA YAKE
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Lowassa aionya NEC, Magufuli atambia barabara